Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi Sana siku moja tu kapiga kampeni majimbo manne ya uchaguzi Bahi,Ikungi,Manyoni na Singida mjini speed nzuriametokea mkoani Dodoma na alisimama vituo vitatu vidogo vya Bahi, Ikungi na Manyoni kabla hajafanya mkutano mkubwa wa kampeni mkoani Singida.
Strategy ya CDM ni kuzunguka kanda zote then wanarudi Dar kuanza kampeni Rasmi.Wiki ijayo nadhani kila mtu atachanja mbuga upande tofautiNashauri chadema nao pia wamuachie salum mwalimu baadhi ya sehemu aende akafanye kampeni mwenyewe
WEWE AKILI YAKO NI NDOGO KAMA YA MKASI AMBAO ILI UFANYE KAZI LZM UKU NYUMA U...Kwani fedha mlizokuwa mnawakata wabunge wenu mmepeleka wapi??
mtajijua na shida zenu sisi tupo #kazini
Waache waige Tembonot every competition is one to one function( hesabu ya form three)
Strategy ya CDM ni kuzunguka kanda zote then wanarudi Dar kuanza kampeni Rasmi.Wiki ijayo nadhani kila mtu atachanja mbuga upande tofauti
Sasa Lisu unamuona ana akili yule?Singida Magufuli amesema mkiwachagua wale wanaotukana watakata kata ndege na kufanya mascrepa. Magufuli unamuona Lissu ni mtu wa kukata kata ndege au una Lissu phobia?
Hajatulazimisha kuzaana kwakua tuna maziwa ya kunyonyesha watoto na wanaume wa kutuzalisha wapo.Sasa Lisu unamuona ana akili yule?
Kama lisu anakosa watu , huyo mwalimu ataenda kuhutubia mawe , miti na nyumba.Nashauri chadema nao pia wamuachie salum mwalimu baadhi ya sehemu aende akafanye kampeni mwenyewe