Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Wameua mashirika ya ndege binafsi ili ATCL wapate kitonga.Kundi la ndege
Kwahiyo na wenyewe hawana choice zaidi ya ATCL tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameua mashirika ya ndege binafsi ili ATCL wapate kitonga.Kundi la ndege
watamkumbuka JK, kila mwaka wa bajeti aliwaongeza mshahara, but now kimyaSijaona popote tangu CCM wamezindua kampeni zao wakisema chochote kuhusu wafanyakazi wa umma.
Mishahara, madaraja, nyongeza n.k
Ni kama hakuna kitu kama hicho kwenye ilani yao.
Sawa.
Unataka wapaze sauti ili yawakute ya kuwakutaTatizo kubwa walilonalo wafanyakazi ni unafiki.maana yangu kuwa wao ndo wanaoongoza kwa kulalamika Ila hawapazi sauti zao zaidi ya kuwa ndo vinara wa kuipitisha na kuipigia kura serikali hii.her waache kulalamika lakini pia wasemaji wawafanyakazi nao wanaoongoza kwa kuwadidimiza wafanyakazi.
Kweli mataga mmebaki na akili za kulengea tundu la choo tu😁😁😁!Kwani mavi yanakaa wapi je yakiamua kupitia mdomoni mwako utashindwa kutafuna!
Hayo mambo anawaambia watu wazima wenye akili timamu au watoto?Singida Magufuli amesema mkiwachagua wale wanaotukana watakata kata ndege na kufanya mascrepa. Magufuli unamuona Lissu ni mtu wa kukata kata ndege au una Lissu phobia?
Mkuu mpuretamu hasa jena maghobe: Labda TRA NDO HUENDA WALIONGEZWA. Wengine wote kilio tu. Kuna mbunge mmoja huko kwetu alikuwa anasema, hata msiponichagua ninyi, wake zenu watanichagua. Magufuli hajali. Hata wafanyakazi wakimsusa, atatumia hata goli la mkono kupata ushindi. Si ile tume aliyoteua yeye ndiyo itakayotangaza??? Shida iko wapi hapa!!!Hivi hakuna walioongezewa kimya kimya kweli?
Wanyamaze kimya Kama manyumbu ipo siku wataelewa t.Magu kaza uzi makarai yako yataandamana kukupongeza kwa kununua ndegu wakati walimu mnaenda kazini na gambuti kisa matope na shule haina nyumba za walimu,increment msubili tuimalishe mbuga ya wanyama Chato.hahahahahahahahaUnataka wapaze sauti ili yawakute ya kuwakuta
Hali ya ofisi zao ni zile zile tangu 95Kwahiyo mabaunsa na mgampo ndo wanaopiga kampeni? Angalia msafara tu wa CCM kama utaona gari hata moja la Serikali. CCM kinatumia rasilimali zake, nyinyi za kwenu zinaishia kwenye matumbo ya wachache.
Kabla hujamwomba Mola wako, kwanza umsifie ndio baadae ueleze shida yako. Watu wale burudani ya wasanii alafu kuomba kura kufuatie!Kweli Polepole na Bashiru ndiyo mwisho wenu wa kufikiria umeishia hapo. Yani karne hii ya technologia na utandawazi na mwenyekiti wenu mkamshauri ivyo na bila kusita akakubali...
Ungekuwa umejiandikisha inge-sound!Ccm msituone watz wapumbavu saiz fanyeni yote tudanganyeni muwezavyo ila tunakuja kuwa choma dawa za kijumbe 28/10/2020 tunawafanyia ambacho hamuto amini
Nakazia hapaUkiona mtu anaenda hapo ujue ni utopolo