Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Yeye hazijui shida zetu unajua tena mshahara wake unarundokana tu hakuna anachonunua
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

View attachment 1555613
n hawa kiduchu wamesombwa na mafuso! short of that mkutano ungeliahirishwa! Sijui kama kuna kitu wanajifunza!
 
Naona mwanza hawamtaki magu, kampeni zimeanza rasmi sasa
Mmh we Mwanza iache hivyo hivyo, umesahau kwa Lowasa walideki hadi barabara, kwenye kura wakamtosa.

Halafu upinzani mnafeli kitu kimoja, nyie mna amini zaidi kampeni za majukwaani kujaza watu, mkiona nyomi mnadhani mmewini, CCM kampeni za jukwaani ni geresha tu.

Wana msemo wao wa nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba, kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.
 
Tuliposema amejipitisha kwa nguvu kwenda kumsaidia Magu kwenye kampeni hatukukosea

Sasa ni aibu tupu mkutano wa waziri mkuu kukosa watu kiasi hiki

Kumbe bila wasanii hata Magufuli Hana watu.


Ni aibu mwaka huu hata mama Samia naye kakosa watu kisa kulikuwa hakuna malori ya kuwasomba

View attachment 1555613
Inabidi wagawane wasanii ili kujaza mikutano yao wasanii ni wengi kuliko wagombea wanatosha kugawana
 
Aliyesema Kazaeni mkaijaze Dunia ndiye aliyeweka uzazi nyongani na ndiye aliyeumba Vyote na kuamuru hivyo

Uwoga wa kutokumwamini Yeye aliyesema hayo na ndiye muumbaji wa Vyote! ndio chanzo cha matatizo yote yaliyopo duniani hapa

Wamama kuwa na magonjwa mengi, vimbe, kansa na magonjwa kibao Ndiyo matatizo yatokayo na kuwepo mpango wa uzazi, huku wanaume wakiendelea na Afya zao kisa Tu wao hawaweki vijiti na kuchoma masindano ya uzazi wa mpango

Magufuli Yuko Sawa, ukiondoa hofu ya namna gani maisha yatakuwa
Kama Mungu aliagiza hivyo na kumaanisha, ilikuwaje Adam na Hawa wakazaa watoto wawili tu? Na Ibrahim ilikuwaje azae watoto wachache licha ya kuoa wanawake wawili? Uwe unairuhusu akili yako kuwa huru unaposoma maandiko ili uyalinganishe na mazingira uliyopo na sio unasoma kikasuku!
Au ccm Ina lengo la kuongeza idadi ya ombaomba barabarani? Haiyumkini karibu ombaomba wote wanatoka Kanda pendwa!
 
Mwaka 2015 wagombea wa CCM maeneo mbalimbali wakati wa kampeni walipiga Sana pushap. Mwaka huu nafuatilia kampeni lakini sioni dalili za wagombea kupiga pushap?

Nini kimefanya pushap kupuuzwa awamu hii?
 
Kama sio mgombea haina shida sana tatizo ni mgombea kama angekuwa mgombea halafu halafu watu wachache hivyo ingekuwa aibu
 
Aliyesema Kazaeni mkaijaze Dunia ndiye aliyeweka uzazi nyongani na ndiye aliyeumba Vyote na kuamuru hivyo

Uwoga wa kutokumwamini Yeye aliyesema hayo na ndiye muumbaji wa Vyote! ndio chanzo cha matatizo yote yaliyopo duniani hapa

Wamama kuwa na magonjwa mengi, vimbe, kansa na magonjwa kibao Ndiyo matatizo yatokayo na kuwepo mpango wa uzazi, huku wanaume wakiendelea na Afya zao kisa Tu wao hawaweki vijiti na kuchoma masindano ya uzazi wa mpango

Magufuli Yuko Sawa, ukiondoa hofu ya namna gani maisha yatakuwa
Adamu alikiwa na watoto watatu Kaini,Habel na Sethi.Ibrahimu alikuwa na watoto wawili wanaofahamika Isaka na Ishmael,Isaka alikuwa na watoto wawili Yakobo na Esau tulete duniani watoto tunaowamudu sio kuhamasisha tu
 
Kipindi kile tulikuwa tunaomba kura, Leo tunaomba tuendelee kula, kwahiyo pushap hazihitajiki.
 
Muongo sana wewe mbona youtub kwenye mkutano watu ni wengi?
 
Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.

"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."

Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.
Mzee sijui kwanini hawezi kuchambua maneno ya kuongea mbele ya haraiki. Ujumbe unaweza ukafika kwa njia nzuri zaidi ya uwakirishaji huu.
Kina mama wanatabu sana na huyu mzee😂😂😂
 
Back
Top Bottom