Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Ndio maana nchi haiendeleai maana inaongozwa na wachawiSio utadhani mkuu,ndivyo uhalisia ulivyo. Ndivyo walivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nchi haiendeleai maana inaongozwa na wachawiSio utadhani mkuu,ndivyo uhalisia ulivyo. Ndivyo walivyo.
Kwani sifa za pombe huzijui kaka?Hayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.
"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."
Toa maoni je ni kweli kupanga uzazi hakuna maana kama wataalamu wanavyo shauri, hii siyo mara ya kwanza Magufuli kuwaambia watanzania kuwa zaeni, msipange uzazi.
Sikuhurumii wewe, nawahurumia wale waliokupa 'likes'.Kuzaa watoto wengi pia ni uzazi wa mpango.
Eti anampenda sana Tundu Lissu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwambie Jiwe aache uroho wa madaraka, hakuzaliwa ili agombee peke yake.Jipya ni kwamba amesema anataka amuajiri TL kwa hiyo amwachie Urais
Hebu twende taratibu! Huyu sio kwamba alikua CCM?? Kama sio basi anisamehe huenda nimechanganyaEti anampenda sana Tundu Lissu 🤣🤣🤣
Mawazo ya Magufuli na yaliyomo kwenye ilani ya ccm ni ardhi na mbinguMgombea wa ccm ninakujulisha kuwa najua uwezo wako wa kukalili mambo kama kipindi kire unafundisha chemistry umepungua sanaaa nafahamu kiwango chako cha kukalili ila nmeshutushwa na wewe kushindwa kumeza Ilani nzuri ya chama cha mapinduzi...
Waliomtandika Lisu marisasi na mabomu wamechukuliwa hatua zipi,Eti anampenda sana Tundu Lissu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh, ila watu ni wanafiki, huo upendo umeanza lini?Eti anampenda sana Tundu Lissu 🤣🤣🤣
Ehee! Kwanini alimnyima matibabu mtu anayempenda?Ndio anampenda kaahidi kumpa na kazi siku za usoni
Wamevunja record ipi ebu acha unafikiMgombea wa ccm ninakujulisha kuwa najua uwezo wako wa kukalili mambo kama kipindi kire unafundisha chemistry umepungua sanaaa nafahamu kiwango chako cha kukalili ila nmeshutushwa na wewe kushindwa kumeza Ilani nzuri ya chama cha mapinduzi..
Hakjna ukakasi hapo ngono zembe ndiyo kitu nyie mnaleta interpretation tofauti kabisa ya hoja ya JPM..Mimi sikumsikia ila maelezo ya humu inaelekea aliwaambia wannanchi waendelee kuzaa na kwamba matiti yapo kwa anili ya kunyonyesha what is wrong with that kumbuka JPM ni mwalimu na anaweza akatumia maneno kuijenga hoja yake.Mkuu hoja yangu ya msingi ni IPI lugha Kali IPI so lugha Kali. Kwa mujibu wa maelezo yako ni kuwa lugha kuwa kali ama sj Kali inatokana na perception ya MTU ..Mimi sikubaliani na wewe! Maelezo yako hayajitoshelezi...
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.
Agosti 25, 2020
M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM.
UPDATE:-
Ni mccm huyuHebu twende taratibu! Huyu sio kwamba alikua CCM?? Kama sio basi anisamehe huenda nimechanganya
Nmesoma sayansi kimuWewe pia umesoma kemia?