Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Weraaa😀😀🙌🙌🙌Nmesoma sayansi kimu
Hivi huko kwenye sayansi kimu "mnakalili"au "hamkalili"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weraaa😀😀🙌🙌🙌Nmesoma sayansi kimu
Kufikiri kibebeeu ndio kufikiri kwa namna gani hebu niambie nijue?Hakjna ukakasi hapo...ngono zembe ndiyo kitu...nyie mnaleta interpretation tofauti kabisa ya hoja ya JPM..Mimi sikumsikia ila maelezo ya humu inaelekea aliwaambia wannanchi waendelee kuzaa...na kwamba matiti yapo kwa anili ya kunyonyesha...what is wrong with that...kumbuka JPM ni mwalimu na anaweza akatumia maneno kuijenga hoja yake...Sasa ngono zembe ndiyo Nini...yeye amesema wazae na hajasema waende kufanya ngono..ipo tofauti hapo.....ila kwa kuwa wengi mnafikiri kibeberu na kutafuta makosa inakuwa shida kwenu...
Hili bumunda ni tatizo kwa nchi yetuHayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.
"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."..
Naona unamtetea mpenda ngono mwenzio kwa nguvu kubwa sanaHakjna ukakasi hapo...ngono zembe ndiyo kitu...nyie mnaleta interpretation tofauti kabisa ya hoja ya JPM..Mimi sikumsikia ila maelezo ya humu inaelekea aliwaambia wannanchi waendelee kuzaa...
Gamba a.k.a Mataga naona sindano zimeanza kukolea vizuriMgombea wa ccm ninakujulisha kuwa najua uwezo wako wa kukalili mambo kama kipindi kire unafundisha chemistry umepungua sanaaa nafahamu kiwango chako cha kukalili ila nmeshutushwa na wewe kushindwa kumeza Ilani nzuri ya chama cha mapinduzi...
Jifunze kusoma na kutafakari kabla ya ku reply, mihemuko itakukosesha maarifa.Endeleeni kujidanganya kujaza watu ndio washashinda.
Halafu kingine labda unanifananisha Mimi siyo mshabiki sana wa vyama ila huwa napenda ya chama au MTU husika kama ana match na mtazamo wangu (haki,usawa na hekima).Hakjna ukakasi hapo...ngono zembe ndiyo kitu...nyie mnaleta interpretation tofauti kabisa ya hoja ya JPM..Mimi sikumsikia ila maelezo ya humu inaelekea aliwaambia wannanchi waendelee kuzaa...
Sera za ccm ni kunyanduana tu,hata uzinduzi wa dom ulikua n kunyanduana mji ulikua unanuka mbunye tuHayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.
"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."..
Alete kanza laptop kila mwalimu halafu ndio alete hayoHayo ameyasema raisi Pombe, muda siyo mrefu kwenye kampeni zinazoendekea mkoani Singida, nanukuu.
"Elimu ni bure, wakinamama zaeni hakuna haja ya kupanga uzazi, matiti ya kunyonyesha mnayo, wanaume wa kuwapeni mimba wapo."..
Hana uzazi tenaMagufuli mwenyewe ana watoto wangapi? Kwanini asianze yeye na mama J kuwafyatua?