Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.

Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.

Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .

Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa

USSR
Hahahaha jamaa bhana, unadai alijaza Jangwani 2015 ila mwisho wa siku aliambulia % ya kura??

Kma alijaza vile na alipigwa kwenye urais,ubunge na madiwani kipi kilichobadilika hadi sasa akijaza ndio iakisi kura zake??
 
Naam, malori ya mchanga na mabasi yakileta watu toka Moro, Pwani, Lindi, nk lazima wajae mjini. Na wafanyakazi wakilazimishwa kuhudhuria na shule zikafungwa ili watoto wa shule wawepo, lazima mji usimame.
Dar itajazwa na Wana Dar wenyewe!. Hiv mnakili mtaweza kulingalisha ufunguzi wa kampeni wa CDM zakhem! .Na itakavyokua kwa CCM ? .
 
Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.

Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.

Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .

Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa

USSR

Kujaza uwanja si kuchaguliwa.
Vipi wapenzi wa muziki watapata burudani? Maana hiyo ndo inawapeleka watu na si kwamba mgombea anapendwa wala sera za mgombea.
 
Kujaza uwanja si kuchaguliwa.
Vipi wapenzi wa muziki watapata burudani? Maana hiyo ndo inawapeleka watu na si kwamba mgombea anapendwa wala sera za mgombea.
Hi ilikuwa njiani simiyu , tuambie watu walifuata wasanii hapo? Msitake kuforce Jpm hapendwi! Na kwa Dar ndo mtaelewa!.
IMG_20200919_160853_915.jpg
 
Hivi kwa mnavyo fikili hapa Dar bila wasanii !. Watu hawawezi kwenda kumuona jpm ! Mara ngap msafar wake ulikuwa ukisimamishwa na nyomi!
Lisu hana wa sanii kwa kuwa hana pesa yeye mwenyewe anaomba achangiwe ,wasanii hufuata pesa hawanaga chama nyie mms pewa milion 320 miaka 20 bado hamna kitu sasa wasanii waje kufanya
 
watu wa Dar tunapenda sana kuwaona wasanii waki perform live majukwaani.

so.....yes upo sahihi, wana Dar tutafurika kwa maelfu kwenda kupata burdani ya dezo!!
Tutafurika kumuona jpm
 
Ujio wa Rais Magufuli hapa Dar es Salaam utakuwa ni sherehe za kile CCM imekifanya ndani ya miaka mitano ya awamu kwanza ya Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli..

Wapinzani hasa Chadema walikuja na hoja kuwa ccm imejikita katika maendeleo ya vitu kuliko watu wakasahau wao macho kumchuzi kila siku wanawaabudu wazungu na wanaenda Ulaya kwa sababu ya kwenda kuona Maendeleo ya vitu!.

hii imewafanya waonekane hawafai na ni watu wa ovyoo,watu wenye akili timamu wanajua hizo mega structures wanaziita ni maendeleo ya vitu ni kwa ajili ya watu...

Rais John Magufuli na serikali yake wamefanya mambo makubwa Chadema wanayaita Maendeleo ya vitu kwa ajili ya watu,Miradi ya reli ya Umeme SGR au JNHPP utanufaisha watu..Hospital..vituo vya afya..shule na barabara zinazojengwa ni kwa ajili ya watu...

Hii inawafanya Chadema waonekani ni watu wa hovyo.
Jpm hapa dar atapokelewa kama ruby ya morogoro itakuwa sikukuu ya kukumbukwa
 
Lisu hana wa sanii kwa kuwa hana pesa yeye mwenyewe anaomba achangiwe ,wasanii hufuata pesa hawanaga chama nyie mms pewa milion 320 miaka 20 bado hamna kitu sasa wasanii waje kufanya
We kampeni gani bila burudani! Wanaweweseka tu! Tatizo wanataka wawe levo moja na CCM ndo tatizo lao chadomo!.
 
Hahahaha jamaa bhana, unadai alijaza Jangwani 2015 ila mwisho wa siku aliambulia % ya kura??

Kma alijaza vile na alipigwa kwenye urais,ubunge na madiwani kipi kilichobadilika hadi sasa akijaza ndio iakisi kura zake??
Alipiga chini lowasa na nguvu zake zote itakuwa huyu mfia mabeberu
 
Kama amejaza hivyo Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Kagera mpaka viwanja vikajaa na watu kubakia nje huku barabara zikiwa zimejaa, sipati picha hapa Dar.

Huu ndio kila kitu na wabunge wake watatu wote walihamia CCM kutoka CHADEMA kabla upinzani haujafa huku ukitoa taswira ya aibu siku Lissu alipozindua kampeni Mbagala na kuambulia vitoto vya shule.

Wakati tunazindua kampein zetu Jangwani mwaka 2015 watu walijaa sana ingawa kulikuwa na wingu la Lowassa kwa sasa sisi wanadar tunangoja kwa hamu kama vile wapentekosti wakimsubilia masia sisi ni zaidi nabii wetu wa maendeleo anakuja kutua Dar, mji utazizima kwa furaha sio bodaboda, mamantilie achilia mbali wasomi kama mimi.

Kwa mujibu wa uchunguzi wa umoja wa ulaya jpm anaonekana kukubalika sana Tanzania na mvuto wake hadi nje ya nchi .

Nangojea kuona tukio hili kubwa sana nadhani hata wewe msomaji unaomba usiku na mchana magufuri atue hapa

USSR
Tukio litafanyikia uwanja wa Mkapa ,na utajaa ,aibu kwa yule aliefanyia Mbagala ,akakosa watu akaamua kuingia mitaa ya kariakoo
 
Back
Top Bottom