Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Kwani magufuli ni baga? Tundu ndie mgeni kwa sasa ndani ya nchi Magifuli yupo Tz muda wote,Kumbe hawa hawaendi kumshangaa Magufuli ila wakifurika kwa Lissu wanaenda kumshangaa?
Mikoa na majiji ambayo Lissu atashinda ni Dar, Zanzibar,Arusha,Mwanza,Mbeya,
Mikoa Mtwara, Iringa,Kagera, Kilimanjaro, Manyara, singida, Kigoma, Mara,Songwe.
Mikoa ambayo watagawana kura Dodoma, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Ruvuma.
Mikoa ambayo yeye atashinda Geita, Simiyu, Katavi Rukwa Lindi na Tabora
Sasa mtu Kama huyu ana chake kweli?
Kila mtu ashinde mechi zake yaani Jiwe ni nyumbani mapema Sana October.
Pia mmekuwa mnasema watu wanaenda kuona wanamziki, sasa hapo kuna mziki au wasanii?