Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara baruti.

“January 12,2025 tulipata taarifa za kuibwa watoto wawili wadogo mmoja wa kike mwingine wakiume, mmoja Miaka mitano mwingine minne, dada wa kazi kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji Kimara walishirikiana kufanya kitendo cha kihalifu kuiba watoto”, SACP Jumanne Muliro, Kamanda Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam.

Aidha Watoto wote wamefanyiwa vipimo Afya zao ni njema na wamekabidhiwa kwa wazazi wao wakati shauri la watuhumiwa likisubiriwa kukamilika ili kufikishwa ✅
 
Awali isimbaa taarifa hii;

Asalam alykum warahmatullah wabarakatuh

Kwa majina naitwa Mohammad Kassim Naomba msaada wenu ndugu zangu kushare habari hii ya kuibiwa kwa watoto wawili Jana jioni tar 11/1/2025 majira ya saa 12

Aliowachukua watoto ni dada wa kazi aliekaa nao siku 3 tu (nadhani aliijia Hilo)

Tunaomba mtusaidie kushare kwenye groups na mitandao ya kijamii kadri muwezavyo dunia imekua mbaya sana hatujui watoto wana hali gani


hivyo msaada mkubwa tunahitaji No juhudi zenu kuendelea kusambaza habari hizi na kwa yoyote atakae sikia hizi habari au kuwaona watoto hao tunaomba


UWASILIANE:

+255 744 555 574

Au kutoa taarifa kituo cha police chochote kilicho karibu na wewe

👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

 
Wapendwa Katika Bwana. Mungu ni Mwema kila wakati.

Naomba msaada wenu.

Familia ya Alphonce Mutasingwa wa Bugene inawatangazia kupotelewa na Mtoto wao Danieli Edwini Mutasingwa. Aliondoka nyumba asubuhi ya tarehe 13/01/2025 na mpaka sasa hajarudi nyumbani.

Sura yake ni kama inavyoonekana katika picha hapo juu. Ana umri wa miaka 13 na yuko darasa la Saba. Tunaomba atakayemuona atoe taarifa kwenye kituo cha Police au kwa Simu namba 0755005692/0680491286/ 0789617281. Tunaomba pia mtusaidie kusambaza taarifa hii kwenye makundi mengine ya Whatsapp. Tunatanguliza Shukurani na Mungu awabariki sana.
 
Dah inasikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…