Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa za namna hii za Watu kutekwa na kisha kupotezwa huwa zinanikera Sana kuzisikia. Zinakera hasa.Tarehe 13/10/2024 saa 19:30 jioni kiongozi mwingine wa CHADEMA jimbo la Vwawa Hussein Mwashambwa ametekwa nyara na watu waliojitambulisha ni askari polisi Ruanda Mbozi. Ndugu wamemtafuta vituo vyote vya polisi hayupo. Mnatulazimisha tuingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe?
View attachment 3126519
Mmhh!
Na mlipotezea? situation kama hiyo ilitokea kwa jirani yangu, ila jamaa yao alipatikana katupwa msituni, wafugaji walimuokota, inaonekana wale jamaa baada ya kuona msako umepamba moto (walitangaza kwenye radio za mkoa)wakaamua kumtelekeza tuMdogo wangu kwa Jina anaitwa msabaha Iddy, alipotea yangu mwezi wa 12,mwaka 2021 huko katavi alikokuwa a kufanya shughuli zake.
Tulipofuatilia tulipigiwa sim ya vitisho kwa private number ukiambiwa tusijisumbue kutafuta sababu hatutomuona tena😭
InasikitishaNa mlipotezea? situation kama hiyo ilitokea kwa jirani yangu, ila jamaa yao alipatikana katupwa msituni, wafugaji walimuokota, inaonekana wale jamaa baada ya kuona msako umepamba moto (walitangaza kwenye radio za mkoa)wakaamua kumtelekeza tu
We unataka za Baltasar. Simba yanga na uzinzi?Taarifa za namna hii za Watu kutekwa na kisha kupotezwa huwa zinanikera Sana kuzisikia. Zinakera hasa.
Taarifa za namna hii za Watu kutekwa na kisha kupotezwa huwa zinanikera Sana kuzisikia. Zinakera hasa.
[/Q
Mnoo
View attachment 3035578
Kwa jina anaitwa Samuel John Mwita
Anafanyakazi Baobab secondary school. umri wake ni miaka 51 amepotea tangu jumatano tarehe 3/7/2024 Alfajiri.
Amepotea katika mazingira yasiyoeleweka RB number MPG/RB/980/2024. Ripoti ipo kituo Cha polisi Mapinga . Mwenye taarifa za kupatikana kwake atupigie kwa namba 0743812622 au 0712217762 au kituo Cha polisi kilicho karibu.
Sambaza kwa magroup mengi kwa ajili ya maombi na upatikanaji wa Mr. Samuel John Mwita.
View attachment 3035580
Pichani ni Lenga Masunga Ng'hajabu, Muuguzi wa Hospitali ya KCMC -Idara ya Masikio, Pua na Koo(ENT). Amepotea katika mazingira ya utatanishi toka tarehe 04/07/2024. Mwenye taarifa yoyote kuhusu mtumishi huyu tunaomba ushirikiano wakumpata. piga namba 0658 450 667-0658 450 642
Kwa mzigo ulivyoplaniwa haikuwa siku yake huyu jamaa alikuwa anaenda. Tungeishia kulalamika na kumpost tuView attachment 3035589
Kada maarufu wa Chadema mkoani Tanga, Kombo Mbwana maarufu kama "Mzalendo" anadaiwa kutekwa Tarehe 16/06/2024 majira ya saa 2 mbili 2 asubuhi, akiwa nyumbani kwake Kijiji cha Kwamatuku Wilaya Ya Handeni.Mke wa Kombo anasema siku ya tukio, walipata mgeni aliyejitambulisha kuwa ni "mtu wa serikali" akamtaka Kombo waongee, akieleza kwamba kuna eneo alinunua karibu na alipojenga Kombo. Baada ya kutoka Kombo hakurudi na hakupatikana tena kwenye simu hadi leo. Na huo ndio ulikua mwisho wa Kombo kuonekana hadharani.Hadi leo hajulikani alipo. Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Chadema mkoa wa Tanga, ndugu Michael Haule inaeleza kuwa wamemtafuta Kombo katika vituo vya Polisi na hospitalini lakini hawajamuona. Wametoa taarifa polisi lakini Kamanda wa Polisi amesema nao pia wanamtafuta. #JusticeForKombo #BringBackKombo
View attachment 3042824
Duuuh inaogopeshaa sana, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kwa wasiomjua picha yake hii. Inasemekana alichukuliwa kwake jana na wasiojulikana.Dokta Slaa