RealEstate Agent
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 244
- 321
- Thread starter
-
- #321
umekoma na nini mkuuMnyonge kutoka kanda ya pwani nasema nimekoma
umekoma na nini mkuuMnyonge kutoka kanda ya pwani nasema nimekoma
Nami nasubir jibuKwanini nyumba inauzwa?
Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Alisikika mganga wa kienyeji akiongea wkt akipunga mapepo.Haunted house hiyo
Anataka anunue IST.Kwanini unauza?
Mnyonge kutoka kanda ya pwani nasema nimekoma
Anataka anunue IST.
Angalia umiliki wa mali kama ni halali...Kwanini nyumba inauzwa?
Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Angalia umiliki wa mali kama ni halali...Kwanini nyumba inauzwa?
Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Inahitajika pesa tajwa hapo juuKwanini unauza?
kwann unasema hivyo mkuu, una hakika au unahisi ?Haunted house hiyo
Siku hizi watu wana matatizo mengi mkuu. Unaweza kuta mtu anauza jumba kama ilo hela yote anaenda kulipia matibabu tu.Kwanini nyumba inauzwa?
Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Na sisi bado tupo ni pesa tu ndiyo imekosekana.nyumba bado ipo