INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Wengine hata waseme wanauza hyo servant kootaa..bado hatuna uwezo na tutaishia kuponda tu...et nyumba ndogo..hehehehe
 
Kwanini nyumba inauzwa?

Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
 
Kwanini nyumba inauzwa?

Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Angalia umiliki wa mali kama ni halali...
habari ya nyumba nyingine atakayoishi sidhani kama ni juu ya mnunuzi
habari za mauzauza ni mawazo ya kishirikina na kimasikini
ATAONDOKA NA MAUZA UZA YAKE..HAWEZI KUYAACHA
 
Kwanini nyumba inauzwa?

Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Angalia umiliki wa mali kama ni halali...
habari ya nyumba nyingine atakayoishi sidhani kama ni juu ya mnunuzi
habari za mauzauza ni mawazo ya kishirikina na kimasikini
ATAONDOKA NA MAUZA UZA YAKE..HAWEZI KUYAACHA
 
Njoo ujenge Mall,apartments, Ukumbi na hata makazi ya kuishi kwenye hii Plot iliyopo eneo zuri la kibiashara
 
Kwanini nyumba inauzwa?

Shida ya pesa?
Ipo nyingine ya kuishi hiyo ni ziada?
Ina mauza uza? n k
Siku hizi watu wana matatizo mengi mkuu. Unaweza kuta mtu anauza jumba kama ilo hela yote anaenda kulipia matibabu tu.
 
Back
Top Bottom