sawa mkuuIpo vizri ila tupe muda mkuu
Nafkiri umejibu fair sana.Angalia umiliki wa mali kama ni halali...
habari ya nyumba nyingine atakayoishi sidhani kama ni juu ya mnunuzi
habari za mauzauza ni mawazo ya kishirikina na kimasikini
ATAONDOKA NA MAUZA UZA YAKE..HAWEZI KUYAACHA
Umemjibu vyema sana.Angalia umiliki wa mali kama ni halali...
habari ya nyumba nyingine atakayoishi sidhani kama ni juu ya mnunuzi
habari za mauzauza ni mawazo ya kishirikina na kimasikini
ATAONDOKA NA MAUZA UZA YAKE..HAWEZI KUYAACHA
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo hata mbu anajistukia anajua atapoteza MDA Tu, hakuna damu hapoo.....njoo tandale Sasa..........mbu hajiulizi mara mbili
πππππHapo hata mbu anajistukia anajua atapoteza MDA Tu, hakuna damu hapoo.....njoo tandale Sasa..........mbu hajiulizi mara mbili
nyumba nazo zinaendaga na fashion sasa unavyosema kali sijui unamaanisha nnnyumba kali sana
karibuni
Old is goldNyumba za waliokuwa nazo miaka ya 1985 kurudi nyuma.