hujaeleweka mkuuIt must be haunted. You cant sell this house at a cheaper price.
Mbona sio ghorof mkuuDuu, ghorofa linauzwa 160000000/-
Ukifuata taratibu stahiki... Huwez pata matatizoNdugu yangu , nyumba za kununua ni kimeo balaa.. hasa unapo nunua kwa mtu binafsi.
Kabla ya kununua unatakiwa uwe na mwena sheria mzoefu kwenye mambo ya real estate la sivyo utajikuta unanyumba ambayo huwezi itumia na huwezi hata kupata hati kwa jina lako.
Huko sio pa kwenda kichwa kichwa, fanya uchunguzi kabla hujaleta Uzi wa kutulilia na kututaka ushauriIngekuwa enzi ya Jk mpaka muda huu ungesikia Sold sold sold,Dah ningekuwa na mpunga ningeuchukua huo mjengo,
Haswa... umenigusa na kunitonesha.. Property hizi zina siri (iliyofichika) take care.. ukishalipa tu !!Ndugu yangu , nyumba za kununua ni kimeo balaa.. hasa unapo nunua kwa mtu binafsi.
Kabla ya kununua unatakiwa uwe na mwena sheria mzoefu kwenye mambo ya real estate la sivyo utajikuta unanyumba ambayo huwezi itumia na huwezi hata kupata hati kwa jina lako.
Umeonaa eennhhMisaba tena
Haki ya Mungu watu wanacheua Mali balaa
Fuata taratibu za kisheria kununua mali hutopata shida yoyote..
Huyu alojenga hili ghorofa huko Kimara porini alichemka.Hakujua kwamba thamani ya nyumba inategemea Hiyo site(kiwanja) kipo sehemu gani.Maana ujenzi wa hili ghorofa ukilijengea MASAKI,au Mikocheni,au Mbezi Beach,Gharama za ujenzi Ni sawa.Siku zote JITAHIDI ujenge nyumba yako sehemu ambazo Mzungu,au mhindi,Mwarabu TAJIRI ANAWEZA Akapanga au akapanunua.Kama una pesa yako usijenge nyumba kubwa Kama hii Uswahilini.Maana siku ukichacha utaiuza Bei Karibu na bure."ONA SASA GOROFA LOTE HILO UNAUZA MIL 160,Na bado Hakuna mnunuzi.Wakati Huku Mbezi Beach uwanja mtupu bila nyumba unauzwa mil 400 na kuendelea.POLE SANA.This is good investment at the wrongplaceUmejenj
sio kila mtu anaijua changanyikeni ila wengi wanaweza kuanza kupata picha ya eneo baada ya kujua mlimani citySqm 350? Au 1350?
Halafu changanyikeni ni changayikeni siyo karibu na mlimani city.