INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Hahaa ngoja aje anijibu mkuu tuone bei yake.
Kwa mim mtaalam harakaharaka hapo sabab sion hata aluminium windows..paa la kawaida la bat zetu za rangi za elf22...kwa ujenz wa kibahili hapo nyumba pekee ukitoa kiwanja ni kama 40m hiv....kiwanja sasa huko pugu sjui ni sh ngap ila hakifik kwa 10m kwa sasa..yeye atakua alinunua bei chin sana enz hzo...so hapo kila kitu na kuvuta umeme etc..weka kama 53m....so jamaa hyo 72.4 atakua anatafta faida na dalal humohumo...angekua anajua kuuza nyumba huyu dalal angemshaur vzur huyo bwana kuwa kwa hal ya sasa nyumba kama hyo location pugu huko hawez uza bei hyo..angeuza kihasara tu labda 50m angepata mteja...asitake mjadala sana...nimempa experience tu..kipind hk cha magu
 
Kwa mim mtaalam harakaharaka hapo sabab sion hata aluminium windows..paa la kawaida la bat zetu za rangi za elf22...kwa ujenz wa kibahili hapo nyumba pekee ukitoa kiwanja ni kama 40m hiv....kiwanja sasa huko pugu sjui ni sh ngap ila hakifik kwa 10m kwa sasa..yeye atakua alinunua bei chin sana enz hzo...so hapo kila kitu na kuvuta umeme etc..weka kama 53m....so jamaa hyo 72.4 atakua anatafta faida na dalal humohumo...angekua anajua kuuza nyumba huyu dalal angemshaur vzur huyo bwana kuwa kwa hal ya sasa nyumba kama hyo location pugu huko hawez uza bei hyo..angeuza kihasara tu labda 50m angepata mteja...asitake mjadala sana...nimempa experience tu..kipind hk cha magu

Umeongea kila kitu nyumbq haijaisha iko halffinishing eneo ilipo tayari inaishusha thamani bei kubwa sana
 
Back
Top Bottom