INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba
Mbona bei sawa au huyu dalali wa JF kaedit post yake nini
Angalia vyumba na sifa zake huyu kasema vyumba 4 mtoa uzi kasema 5, huyu kasema 2 ndio masterbedrooms mleta mada kasema zote master ... Na wote madalali na wanadalalia nyumba moja. Ni kimbembe
 
🔥
Nyumba inauzwa BEI YA KUTUPA...Kimara temboni MILIONI 65 TU...
🙆
🙆
🙆

✅
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
✅
Pia ina nyumba nyingine ndogo ya chumba na sebule + fremu ya biashara
✅
Eneo la kiwanja ni 20 kwa 20 (sqm 400)
✅
Nyumba ipo km 1.5 kutoka morogoro road
📌
BEI NI MILIONI 65 TU......Wahi sasa
🏃
🏃
🏃
🏃

☎
Mawasiliano 0677 818283
137613075_109773407737979_1195396377572166362_n.jpg
137628941_109773404404646_5803147333601918060_n.jpg
138252570_109773414404645_7006070087258259358_n.jpg
138272857_109773427737977_7880332687210787750_n.jpg
138320928_109773424404644_5488496596704172655_n.jpg
138347720_109773421071311_372202893034114859_n.jpg
 
Back
Top Bottom