Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumba za waliokuwa nazo miaka ya 1985 kurudi nyuma.
Bei bei bei...!Hi nyumba tangu mwaka jana hainunuliki kulikoni?
nyumba haina tatizo loloteNyumba ina tatizo gani? Sorry niljua gari nimeona bei ndogo
The location dearNusu heka 400M?
Profesa J mzee wa mitulinga sio mkaazi wa Mbezi kimara tena......barabara haitapita hapo kama kwa prof J?
Wewe una kitu unauza kweli hapo? prof J mbona anakaa mbezi beach hiyohiyo au wewe hata huyaelewi maeneo unayouza.Profesa J mzee wa mitulinga sio mkaazi wa Mbezi kimara tena......
Jaribu kuangalia id ya muweka uzi na unayemjibu...ni watu wawili tofautikwanini unatukana, wewe una kitu unauza kweli hapo? prof J mbona anakaa mbezi beach hiyohiyo au wewe hata huyaelewi maeneo unayouza.
Ndio mkuu plot ipo mbele ya apartments za sea breeze....barabarani kabisaAisee ningekuwa na pesa hata milioni 500 nigetoa, hapo si kwenye zile apartments kama unaenda kwa Mwamunyange ?
Mwenye mali ndio muuzaji....hakuna habar ya mali ya urithiWanafamilia wametuliza wenge sasa? Maana kuna madogo vichwa ngumu
Prof J alikuwa anakaa Mbezi ya Kimara kabla hajabomolewa......alafu mm sio muuzaji wa eneo...kwanini unatukana, wewe una kitu unauza kweli hapo? prof J mbona anakaa mbezi beach hiyohiyo au wewe hata huyaelewi maeneo unayouza.
Mwenye mali si mmama anawatoto wanatolea macho mgao piaMwenye mali ndio muuzaji....hakuna habar ya mali ya urithi
Kama ni hapo basi kipo eneo zuri sana, wawekezaji wachangamkie fursa !Ndio mkuu plot ipo mbele ya apartments za sea breeze....barabarani kabisa