figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,221
Lazima ije kulinda balozi zao.Hii Patriot anti-aircraft missiles system za Marekani zinaketwa Ukraine. Hawa NATO hii vita kumbe wangeimaliza mapema. Wanataka kwanza Mrusi ayumbe kiuchumi. Vikwazo tu vimeanza kuwaliza kwamba wanaonewa
View attachment 2232506
Sio hilo tu bali hadi maiti zimeondolewaTumepotesa rubani wetu. Alijisa kupeleka chakula na Maji Azovstal. Ndege imedondoshwa ila mzigo umefika. Tujifunze Uzalendo kwa Ukraine
View attachment 2232536
Nasubiria kwa hamu siku wakianza kucheza movies na documentaries kutuonyesha kilichokuwa kikifanyika, zitavutia sana.Jamaa wa Kikosi hatari cha 79th Airborne troops wanaoambana ndani ya Donbas
View attachment 2232509
Wajerumani huwa ni wazito kwenye kufanya maamuzi na hiki kitu huwa kinawacost sana kwenye mambo mengi.Hawa Ujerumani hawapo serious. Sisi tunataka huu msaada leo, wao wanadai watatupa msaada katika ya July. Wanadai ndo Ukraine tutakuwa fiti kuzitumia baada ya Mafunzo. Sisi tunataka tuwafurumushe warusi tuanze kulima. Hii silaha ya kudungua ndege inaitwa Gepard anti-aircraft self-propelled guns from Germany in mid-July. Watatupa 15.
View attachment 2232526
SaluteSasa kwasababu kama hii ya msingi, iweje Russia aonekane ni mzuri, ameifanya dunia iwe na mfumuko mkubwa wa bidhaa kwa vita aliyoianzisha na bado akafunga bandari, kama adui yake ni Ukraine kwanini ataabishe wengine? Bado hapo hapo anaombwa kuungwa mkono, mhhh!
Russia hana huruma na watu wake, Waukraine wala wanadamu wa mataifa mengine.
Kwasababu hii namuona US ana haki ya kuikomboa dunia kama alivyowahi kufanya huko nyuma japo kuna haters wake hawataki kuukubali huu ukweli.
Siku anayesimamia haki ndiye hushinda.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Tuko na dozi yako MILEMBE pale.URUSI, Moscow: Kituo kikubwa cha Utafiti wa Anga cha TsAGI, kinawaka moto. Asante LEGION
View attachment 2233128
[emoji120][emoji120]Salute
Yaani Hii vita inaivua nguo saana Russia na kila mtu anajua wazi kwa Sasa Russia hawana chochote zaidi ya mikwara tu.Wakuu, kuna mtu kajua ule msafara wa jana ya Urusi umeishia wapi? Urusi walikuja na Convoy ya Km zaidi ya 15 wakijaribu tena kukatiza mto Popasna, Azovstal. Wamekwama wapi?[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2233374