figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,541
[emoji91][emoji91]Ujerumani wanaleta Mars II multiple launch rocket systems. Asante
View attachment 2247303
Hii habari nimeiona gazeti la Daily Mail la Uingereza wenyewe wanasema Kuna tetesi itakua katolewa kwenye ukamanda wa kuongoza hii oparesheni na Putin pia wanakili hajaonekana hazalani kwa wiki mbili . inaweza kuwa kweli kafa Mana kilisikika taalifa kwamba kajeluhiwa.Ngoja tusubili muda utupe majibu.Wakuu, huyu ni
Generals Alexander Dvornikov, huyu ndo alidaiwa ndo Mkuu wa "special operation" ya Urusi nchini Ukraine. Wiki ya pili haonekani Frontline. Inadaiwa kauawa japo sijaona maiti yake. Tunafuatilia.
View attachment 2247274
Weka mbali na watotoSniper wetu[emoji123]
View attachment 2247350