figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,561
Ardhi ya Ukraine haikaliki - imekuwa chungu hailiiki kwa Warusi - ngumu kumesa. 😩itakuwa Urusi wanapigwa vibaya ndo maana mpaka sasa hawajaikalia Ukraine
Mkuu hivi hii haiwezi kuwa changamoto kwa askari wa ukraine vifaa vinatoka kwa watu tofauti tofautu inawezekana uendeshaji wake ukatofautina hivo kuwa changamoto kwa askari kutumia.Hatimaye Ujerumani imekubali kuleta MLRS. max. range 40km, max. altitude 20km. Umbali wa KM 40 si haba
View attachment 2247888View attachment 2247889
Wanapewa mafunzo. Wana wasaidizi pia.Mkuu hivi hii haiwezi kuwa changamoto kwa askari wa ukraine vifaa vinatoka kwa watu tofauti tofautu inawezekana uendeshaji wake ukatofautina hivo kuwa changamoto kwa askari kutumia.
DuuuhAngalia Wansjeshi wa Urusi walivyo kufa kama sisimizi[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2248464
Fiat pick-up! bongo sidhani kama hata moja ipo!