Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ila jana Warusi tumewadunda hadi basi
1654125437095.png
 
Yaani nimecheka sana. Drone ilishambulia kifaru cha Urusi, eti huyu askari akajifanya amekufa then akakimbia. Drone ikamfuata huko huko alikoenda🤣🤣🤣
 
Mkuu hivi hii haiwezi kuwa changamoto kwa askari wa ukraine vifaa vinatoka kwa watu tofauti tofautu inawezekana uendeshaji wake ukatofautina hivo kuwa changamoto kwa askari kutumia.
Wanapewa mafunzo. Wana wasaidizi pia.
 
Back
Top Bottom