figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,641
Huwa wanalinywa kama walivyoligema 😩Hivi Urusi wakiahambuliwa hawasaidiani?
View attachment 2252381
Huyu jamaa kajiamini sanaRais anawashukuru wote wanaosaidia kuilinda Ukraine dhidi ya wavamizi. Amewatembelea Frontline wa Zaporizhzhia
View attachment 2252136View attachment 2252137
[emoji3][emoji3][emoji23]Urusi wanapanga kuketa Sikaha mpa ya kisasa kama inavyo onekana.
View attachment 2252968
Mkuu; Hii silaha ni ya masafa marefu au 🙄Urusi wanapanga kuleta Silaha mpya ya kisasa kama inavyo onekana.
View attachment 2252968
🤣🤣🤣Mkuu; Hii silaha ni ya masafa marefu au 🙄