barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,298
- 659
Hahahaa hao Azov ndio wanaanza saiz pole mkuu hao ni wahuni hatari vitani america anawajua hao ndio maana hatii mguuKuna hiki kikundi kinamsaisia Urusi kinaitwa Chechen. Hawa ni raia wa Chechnya.Wao wanafanya propaganda na Uongo wa hali ya Juu. Mambo kama haya huwezi yafanya mbele ya Azov, wanakutuo roho. Hapa ni sehemu ambayo haina mapigano, ndo wanafsnya hivi ili wapost Social media. Wanapenda sifa balaa
View attachment 2217446