figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,681
Hakika Warusi ni vilaza kweli-kweli. Yaani walikuwa hawajui kwamba vitani kuna watakaokufa na watahifadhiwa namna gani? Hawana utu kabisa au wanathamini mtu akiwa hai? Inasikitisha - Afande kwenye Rambo!!! Tz hamnaga hiyo kitu.View attachment 2253937MAITI YA JENERALI IMEFUNGWA KWENYE RAMBO?
Aspide batteries zina kazi gani?Hispania wametoa msaada wa Leopard 2A4s arobaini na Aspide batteries sita
View attachment 2254199View attachment 2254200
Ni hiyo picha ya kwanza. Hizi ni anti-aircraft missile system. Zina rada pia kwaajili ya Ulinzi wa anga. Hizi wanazotoa zimetengenezewa UjerumaniAspide batteries zina kazi gani?
Askari wa Russia ni duni saana, yaani imagine hata ballistic helmet hawana na wako Frontline wamevaa mizura Kama wauza vitunguu wa uyole... Very unorganized.Inatia huruma sana, Vitani wanatakiwa wawe na bags za kuwekea maiti, Mtu akifa anaingizwa kwenye begi zuri zipu inafungwa safi.
So sad, sasa huyo General mshahara wake unaweza kuwa shs ngapi? Inaonyesha uduni sana wa maisha.
Russia wana silaha ila wanajeshi hamna kitu, ukweli kabisa kwa silaha walizonazo hii vita ilitakiwa iwe imeisha.Askari wa Russia ni duni saana, yaani imagine hata ballistic helmet hawana na wako Frontline wamevaa mizura Kama wauza vitunguu wa uyole... Very unorganized.
Wamejivua nguo saana kwenye Hii vita yaani wakikutana hata na Germany hawa hawatoki ... Germany machine aweke full mziki na spirit yake ya kijeremani Russia inakuwa kama Mogadishu.
Wameniangusha Sana Russia, Askari Wana visimu vya itel Frontline Kama wacambodia inafikia hatua wanaiba Hadi washing machine za laki 2 na nusu? Loh!
Soldier wa USA akienda Frontline wao wanaiba multimillion dollar items na treasure sio kuiba ushuzi Kama wale askari mbuzi wa Russia.
Mkuu, usiamini Propaganda. Ubora wa Jeshi unaanzia kwa Wanajeshi wenyewe. Angalia Mishahara wanaypewa Frontline. Angalia rambirambi wanayopewa Familia ya Askari alokufa Vitani Ukriane.Russia wana silaha ila wanajeshi hamna kitu, ukweli kabisa kwa silaha walizonazo hii vita ilitakiwa iwe imeisha.
Nawaheshimu sana Germany kwa jeshi bora na silaha, Askari wa Russia ni sawa na Mgambo tu, hawana thamani.
Silaha Mrusia ana silaha nyingi tu kizamani lakini sio deadly, digital na advanced Kama za magaharibi Hadi muda huu Mrusia anazishangaa Javelin na Howitzer zinavyomtwanga anashangaa kuona silaha za mfumo wa RPG ambazo ni digital yaani unaset longitude na latitude na mzigo una thermol sensor za kusense tanks za Mrusia then unafyatua Bomu ambalo lazima kifaru kichanike chanike Kama tissue.Russia wana silaha ila wanajeshi hamna kitu, ukweli kabisa kwa silaha walizonazo hii vita ilitakiwa iwe imeisha.
Nawaheshimu sana Germany kwa jeshi bora na silaha, Askari wa Russia ni sawa na Mgambo tu, hawana thamani.
Hivi vifaru dawa yake javelin tu! Vinakuwa laini Kama tissue. Unfortunately kila kitu kinaonekana kwenye satellite ya USA na UK ... Wanawaleta askari wao kwenye majeneza yao.Baada ya kupoteza vifaa vingi Ukraine, Urusi wanaleta Vifaru Vingine. Tutavitungua, komoja baada ya kingine hadi Waishiwe. Nusu ya hivi tutaviteka. Madogo Ijumaa wanahitimu mafunzo ya Silaha mpya za USA
View attachment 2254387
Javelin ni most advanced, expensive and sophisticated digital anti tank missile in the world ambayo unaweza beba hata wewe begani tu lakini madhara yake na kishindo chake ni Cha kustaajabisha.Mkuu, usiamini Propaganda. Ubora wa Jeshi unaanzia kwa Wanajeshi wenyewe. Angalia Mishahara wanaypewa Frontline. Angalia rambirambi wanayopewa Familia ya Askari alokufa Vitani Ukriane.
Kuna Jamaa wa Intelejensia wa Uingereza kasema, Urusi una Vifaa vya Jeshi vingi, ila vya kizamani. Havina shabaha. Hata hayo mabomu ya Nyuklia ya Kizamani, yameexpire. Hakuna Silaha moya za kijeshi za masafa Urusi wamefanya. Kasema wanajivunia Silaha za zamani za USSR.
Askari wa Urusi waliteka Mzigo mkubwa wa Javelin kule Donbas lakini hamna Mwanajeshi hata mmoja mwenye mafunzo ya kutumia hadi Ukraine wakazikomboa baada ya siku 20. Na waliokuwa wanajifunza waliuliwa. Ndo wale wale wanajeshi 80 waliokufa siku moja.
Ok,AsanteNi hiyo picha ya kwanza. Hizi ni anti-aircraft missile system. Zina rada pia kwaajili ya Ulinzi wa anga. Hizi wanazotoa zimetengenezewa Ujerumani
View attachment 2254263View attachment 2254264View attachment 2254265View attachment 2254266
Hii imenishangaza kumbe hizo Javelin unaset tu halafu yenyewe inafuata target?Je ni lazima kifaru uwe unakiona?yaani kisiwe kimekingwa na kitu kama mti au mlima?Silaha Mrusia ana silaha nyingi tu kizamani lakini sio deadly, digital na advanced Kama za magaharibi Hadi muda huu Mrusia anazishangaa Javelin na Howitzer zinavyomtwanga anashangaa kuona silaha za mfumo wa RPG ambazo ni digital yaani unaset longitude na latitude na mzigo una thermol sensor za kusense tanks za Mrusia then unafyatua Bomu ambalo lazima kifaru kichanike chanike Kama tissue.
March 4 javelin zilipiga mabomu 300 na vifaru 293 vya Mrusia viligeuka Chuma chakavu.
Mrusi mwenyewe anashangaa na hakutaajia Kama atakutana na silaha digital maana yeye bado Yuko analogy alichonacho yeye ni manuclear tu ambayo hawezi kuyatumia kwa Sasa maana kila mtu anayo na ukilitandika Hadi China anakuchenjia sababu na yeye bado anataka kuishi. Ubomoe Dunia kwa sababu ya ukoro wako?
Lastly, Mrusia ana masilaha mengi lakini yote makubwa jinga.. hana silaha ya infantry anayosumbua nayo..Hana!
Javelin imemfanya akakimbua Kiev Kama kimada. Anatwangwa na silaha ndogo ya kubeba begani lakini anti tank missile inasafiri unganisha viwwnja vya mpira hata 30. Ambayo ni almost 1.6 mile. Mamaee.
Lazma ukimbie mji. Unacheza na Mzungu wa Ulaya alietawala Dunia. Utaita Maji mma.
Hii VITA unaiona peke yako mkuu? Yaan vifaa vya kizamani afu wachukue 20% ya Eneo??Silaha Mrusia ana silaha nyingi tu kizamani lakini sio deadly, digital na advanced Kama za magaharibi Hadi muda huu Mrusia anazishangaa Javelin na Howitzer zinavyomtwanga anashangaa kuona silaha za mfumo wa RPG ambazo ni digital yaani unaset longitude na latitude na mzigo una thermol sensor za kusense tanks za Mrusia then unafyatua Bomu ambalo lazima kifaru kichanike chanike Kama tissue.
March 4 javelin zilipiga mabomu 300 na vifaru 293 vya Mrusia viligeuka Chuma chakavu.
Mrusi mwenyewe anashangaa na hakutaajia Kama atakutana na silaha digital maana yeye bado Yuko analogy alichonacho yeye ni manuclear tu ambayo hawezi kuyatumia kwa Sasa maana kila mtu anayo na ukilitandika Hadi China anakuchenjia sababu na yeye bado anataka kuishi. Ubomoe Dunia kwa sababu ya ukoro wako?
Lastly, Mrusia ana masilaha mengi lakini yote makubwa jinga.. hana silaha ya infantry anayosumbua nayo..Hana!
Javelin imemfanya akakimbua Kiev Kama kimada. Anatwangwa na silaha ndogo ya kubeba begani lakini anti tank missile inasafiri unganisha viwwnja vya mpira hata 30. Ambayo ni almost 1.6 mile. Mamaee.
Lazma ukimbie mji. Unacheza na Mzungu wa Ulaya alietawala Dunia. Utaita Maji mma.