figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,721
Huu ndio mfumo ni smart, advanced na makini zaidi wa kulinda anga Duniani.Ukraine imeamua kununua Iron Dome za Israel ili kulinda anga.
View attachment 2254787View attachment 2254788View attachment 2254789View attachment 2254790View attachment 2254791View attachment 2254792
Na Sasa hivi NATO anafanya mazoezi makubwa ya kijeshi polandi,Lativia na nchi zote za Baltic.Kichapo kinachoenda kumpata Mrusi hakika hakijawai tokea .Naona muda umefika wa kumwinyesha Putin n nini Mana ya NATO under USA.Ukraine imeamua kununua Iron Dome za Israel ili kulinda anga.
View attachment 2254787View attachment 2254788View attachment 2254789View attachment 2254790View attachment 2254791View attachment 2254792
Umezungumza kitu cha ukweli kabisa, nafikiri satelite nyingi zimeelekezwa Ukraine kumsaidia katika hii Vita, kila mrusi anachofanya kinakuwa monitored, na ndiyo maana anagongwa kama kiazi.Hivi vifaru dawa yake javelin tu! Vinakuwa laini Kama tissue. Unfortunately kila kitu kinaonekana kwenye satellite ya USA na UK ... Wanawaleta askari wao kwenye majeneza yao.
Javelin haijawahi kufeli kwenye kazi ya kubomoa Tanki. Mzigo una sensor zake. Unasubiri vijitank vya Mrusia.