Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mimi ninacholaumu ilikuwaje dunia nzima tunategemea mafuta,gesi na nafaka kutoka kwa haya mataifa mawili....yaani hadi UK na USA pia wao....aisee wacha tukome...
 
Wiki hii Urusi wameondoka vichwa chini. Na huu ni mwanzo. Ndo kwanza madogo wanaendelea kumaliza mazoezi ya kutumia silaha za Magharibi. Kwa Urusi kila leo ni afadhali ya jana
 
URUSI: Mkoani Bryansk, Wilayani Klintsovsky, Kambi ya Jeshi inawaka moto. LEGION
Your browser is not able to display this video.
 
Leo nipost kidogo Kikosi cha LEGION. Hiki ni kikosi kilichoasi Jeshi la Urusi. Wamo ndani ya Urusi wengine wanasaidia Ukraine kuipoga Urusi. Wapo Wanakeshi, Wahandisi, Mafundi, Madereva, Marubani nk
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Mimi ninacholaumu ilikuwaje dunia nzima tunategemea mafuta,gesi na nafaka kutoka kwa haya mataifa mawili....yaani hadi UK na USA pia wao....aisee wacha tukome...
1. US, Afrika(North),Nchi za mashariki ya kati (Uarabuni) na sehemu nyingine wanayo mafuta ila bei zao zipo juu ukilinganisha na yale yanayotoka kwa haya mataifa mawili.
2. Wawekezaji wakubwa kutoka nje waliwekeza sana katika sekta hiyo katika mataifa haya mawili.
3. Zipo Nishati mbadala zitokanazo na mimea e.g. Jatropha lakini hazijawa fully utilised ila tumekuwa tegemezi mno kwa bidhaa hiyo tukajisahau kwamba iko siku mambo yanaweza kugeuka - kwa hiyo wacha watupige tu.
Isingekuwa sisi waTz tuna longolongo nyingi ikiwemo upigaji(Ujanjaujanja)mafuta, gesi, chuma, mkaa wa mawe na madini mengine ya Nishati(Uranium) tusingebabaika. Lakini sasa kweli wacha tukome....
 
Waoneeni huruma wa ukraine, according to raisi wao yule comedian ni kuwa kwenye uwanja wa vita kila siku wanapoteza wanajeshi 200!
Wanakung'utwa huko halafu jamaa wanadanganyana hapa.
 
Nawakumbusha kwa siku wanakufa Wana jeshi wa Ukraine zaidi ya 200 sija sema mimi ni zelensky na 23% ya Ukraine ipo mikononi mwa Urusi



Endeleeni kujipooza maumivu na vipicha vyenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…