Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mkuu tunashukuru Sana kwa kuendelea kutuletea updates za vita ya Ukuraine ubarikiwe Sana.Vipi mapambano yanayoendelea Donabos unayaonaje Mana ndo yatakayoamua muelekeo wa vita
Donbas tunatakiwa tupate silaha zenye nguvu. Zimeshaingia Nchini japo hazijafika Donbas. Mapambano ni makali kwani tunashambuliana kwa zamu. Juzi tulitegua Mtego wa Urusi, kidogo watutoe roho. Hawa Warusi wametupania balaa. Tunawashukuru LEGION
 
Wanajeshi wetu hawapanic kama wa Urusi. Na tunajiamini sana so tukipata muda tunaburudika
Your browser is not able to display this video.
 
Donbas tunatakiwa tupate silaha zenye nguvu. Zimeshaingia Nchini japo hazijafika Donbas. Mapambano ni makali kwani tunashambuliana kwa zamu. Juzi tulitegua Mtego wa Urusi, kidogo watutoe roho. Hawa Warusi wametupania balaa. Tunawashukuru LEGION
Na Leo NATO under USA wamesema muda wowote wanaingilia kati kimsaidia Ukurein.
 
Angalia Vifaru vya Urusi aina ya BMP-2 vilivyo lipuliwa na Stugna-P anti-tank missile. Sina uhakika kama ni Stugna-P ya huyo dada niliyempost hapo
Your browser is not able to display this video.
 
Hiki kijiji kipo Mkoani Kherson, Baada ya Warusi kuzidiwa, wameacha wameboabomoa nyumba the.n Wakakimbia. Leo tumewanyang'anya maeneo mengi japo tunapungukiwa na Siraha za Masafa marefu (long range weapons) ila hadi Jumamosi wanajeshi wa Kherson na Donbas watakuwa wameshapokea Mzigo kwani Ushaingia.. Kinachofanya ni utaratibu wa kuzipeleka Frontline. Kuwapelekea Silaha Askari wa Mstari wa mbele huwa ni kazi sababu saa nyingine zinaangukia Mikononi mwa Adui.
Your browser is not able to display this video.
 
Majeshi yetu yakisonga mbele huko Donbas. Hawa ni Frontline. Hilo gari la Kimarekani hapo mbele ambalo lipo kama Hummer si Hummer, haya Magari ya Kimarekani yanaitwa Humvee. Sijui hizi Humvee zimeingia lini Ukraine.
Your browser is not able to display this video.
 
Majeshi yetu yakisonga mbele huko Donbas. Hawa ni Frontline. Hilo gari la Kimarekani hapo mbele ambalo lipo kama Hummer si Hummer, haya Magari ya Kimarekani yanaitwa Humvee. Sijui hizi Humvee zimeingia lini Ukraine.
View attachment 2263097
Mkuu Habari ya Azot plant Sijaona ukiiandika na wakati Zele katoa amri wanajeshi wote waliokwama kwenye hicho kiwanda wafanye ku-surrender


figganigga
 
Hawa ndo Wale Azov waliofanikiwa kutoroka Azovstal kule Mariupol. Wamerudishwa Darasani. Hapa Wanafundishwa kutumia Silaha mpya za kisasa za Marekani. Hii ni wiki ya Pili. Labda Jumatatu wanaweza ingia mzigoni Frontline
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…