Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Aisee, leo hawa Wavamizi wametupelekea Moto hapa Dolyna na Berestove, hadi tumeretreat. Hapa tumepoteza leo. Ila tunajipanga viziri. Tumepungukiwa Silaha za Masafa Marefu. Kama zikifika Jumamosi, tutawapelekea moto na kuwafurumusha tena hadi Popasna
 
Ghala la Siraha la Urusi linawaka moto. Walipanga wazitumie kutuua, tumewawahi
Your browser is not able to display this video.
 
Hawa ndo Wale Azov waliofanikiwa kutoroka Azovstal kule Mariupol. Wamerudishwa Darasani. Hapa Wanafundishwa kutumia Silaha mpya za kisasa za Marekani. Hii ni wiki ya Pili. Labda Jumatatu wanaweza ingia mzigoni Frontline
View attachment 2263118
Silaha gani mpya Sasa hapo!? 😁😁😁

Huu Uzi unachekesha
 
Silaha za CAESAR howitzers kutoka Ufaransa, zimefika Frontline. Sasa nisikilizia Muziki wake Weekend hii🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Ukraine wanataka wakate daraja kuelekea Urusi maana washapata specification zake
Ndio. Saa nyingine wakizidiwa wanakimbilia kwao wanajipanga na kurusi. Tunataka kusiwepo na kukimbia. Ukishondwa unaweka mikono juu. Azov wao wanasema hawataki mikono juu bali wanataka roho za Warusi bila kuangalia Sura
 
HIMARS zitaingia lini Frontline ?....hizi zitawapunguza Sana kasi wavamizi.
HIMARS haziwezi kwenda Frontline haraka. Kwanza leo ndo kundi la kwanza la Wanajeshi 60 wa Ukraine wanahitimu mafunzo ya kuzitumia.

Nasikia Marekani inadai itaingiza Jeshi lake Ukraine kulinda zana zao za Jeshi zisichukuliwe na Urusi. Kwani sasa wanaanza kuleta Mzigo Mkubwa.
 
Leo tumeondoka na Meli ya Kirusi aina Vasily Bekh ikiwa na mfumo wa ulinzi wa anga ya Tor ndan8

Tumeilipua wakati ikisafirisha risasi, silaha na wafanyikazi kwenda Snake Island
Your browser is not able to display this video.
 
B-8M1 80 mm rocket launcher ikiwa inafyatua Makombora aina ya 80mm S-8 model rockets. Ilifungwa kwenye tela. Urusi kazi wanayo
Your browser is not able to display this video.
 
Huu msafara mbona mkubwa sana,ukipata details tuletee vifaru na magari mangapi yameketekea bila kusahau idadi ya wavamizi waliokufa
Hii picha sio ya Leo. Hawawezi rudia hilo kosa. Sijajua picha katoa wapi lakini hayo ni Maeneo ya Kyiv. Hii picha itakuwa ya Februari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…