Yaani Sikutegemea Urusi Inyanyaswe hivi. Walisema Ukraine itatekwa kwa siku 3, lakini ndani ya miezi minne wameambulia kuteka mkoa mmoja ndani ya Mikoa 28. Urusi wanakwama wapi?
Kuna kikosi cha Ukraine kinaitwa 93rd brigade "Cold Yar", nahisi kina Makomandoo watupu.. Kinawauma Warusi hadi basi. Hiki kifaru cha Urusi aina T-80BV kimeteketezwa na Waliomo
Ghala lingine la Jeshi linawaka Moto. Sasa ni Tyva kwao na Waziri wa Ulinzi wa Urusi Shoigu. Ndipo alipozaliwa, sasa hivi ndugu zake roho zinadunda. Asante LEGION
Ukraine wamesimika bendera kisiwa cha Snake. Urusi waliapa kutopaachia, lakini Makombora ya HIMARS kutoka Ukraine yakawafanya watimue mbio na kuacha viatu