Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kwanini Warusi wanaogooa HIMARS?
Your browser is not able to display this video.
 
Muhimu sana ni ammunitions za umbali mrefu ili crimea bridge iondolewe
 
Mkuu,

Kuna baadhi ya picha unazoziweka zinatosha na kuogopesha sana unatakiwa kutoa tahadhari kwa sisi wasomaji wako.

Sijui lakini kwa nini sijui @moderators wamekuacha ufanye hivi vitu pasipo kukudhibiti.
Ndo hali halisi ya Frontline.. Thread ya Vita ulitegemea usikutane na maiti 200 za Urusi? Inakuuma?

Basi nakutahadhalisha.. Picha nitakazopost zingine ziogopesha.. Thread ya Kiume.
 
Haya magari yapo Frontline. Yanatumia internet ya Starlink aliyotoa kama msaada Elon Musk baada ya Urusi kuharibu miundombinu ya Intenet Ukraine. So Frontline wapo Online ili kuwazoom Vizuri kwa Google warusi walipo.
Your browser is not able to display this video.
 
Hahahaaa....🤣🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Hapa ni Shakhtarsk, unaambiwa masaa manne hii mijengo inalipuka tu baada ya kurushiwa Kombora. Warusi walificha nini humu?
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-80BV kilixhotekwa maeneo ya Kharkiv ndo hiki. Video imechukuliwa Kiji cha Karnaukhivka, Wilayani Izyum.
Your browser is not able to display this video.
 
Maisha ya kila siku ya wapiganaji wetu Frontline. Mnacheka dakika moja, dakika moja mnalia
Your browser is not able to display this video.
 
Hadi Sasa imemsaidia saana kuwapush Russians back... Maana Hadi Sasa Russia hawana Namna ya kuzizuia HIMARS zinapenya tu!
RUSSIA Wajinga sana, wameleta Propaganda kuwa HIMARS Wamezilipua zote, CNN wakalazimika kwenda kurekodi wakati zinafanya kazi.
1. CNN Wakizionyesha HIMMARS Baada ya Russia Claims.
2.https://youtu.be/yaqXJGjCln8?t=104
Russia Propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…