Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Warusi wamehifadhiwa. Pro Urusi nenda mkaage
IMG_20220709_161259_728.jpg
 
Yaani USA ni noma ana silaha za ajabu alafu kila silaha ina kazi yake kwenye battle field duuh am kweli USA ni super power wazee jamaa waNajua sana san USA ndo jeshi la dunia hutaki kataa anakuletea aina ya SILAHA kutokana na wewe unavyokuja
Ogopa mtu mwenye uwezo wa kununua akili yeyote ile Duniani... Wasomi waliobobea kwenye technology wote marekani anawapa mkwanja wanaenda New York kula maisha na wanampigia kazi sio ya kizembe.

Mmarekani anawaza future tu, yeye fika pale mpe idea ya kitu ambacho Dunia itakuwa Haina in the future then you are good.

Albert Einstein alikataliwa Duniani kote akionekana Kama mwehu Hadi kwao Germany alifukuzwa akionekana Kama kichaa kumbe ndio alikuwa na formula ya kutengenezea nuclear bombs... Mmarekani kamchukua kampa mkwanja jamaa katengeneza bomu la kwanza la nyuklia kajipendekeza Mjapan vita ya kwanza ya Dunia. Mmarekani akamtwanga dogo. Dunia ikashika kichwa ikakiri Mmarekani wewe ndio baba wa Dunia. Tusamehe.

Tangu siku hiyo Mmarekani hajawahi kuboa wala kupwaya. Vita yake akianzisha Dunia inaisha.
 
Javelin Sasa hivi zinapumua zile zilikuwa kwa ajili ya kuchana vifaru vinavyo advance Frontline.

HIMARS kwa Sasa ndo ziko mzigoni. USA hawezi kufail Hii task ndogo tu.
Javelin
HIMARS
M777 Howtizers
NLAW
STUGNA-P

ni visilaha vidogo ila moto wake sio wa kinyonge aisee. Siku ambayo marekani nae atacharuka na kumpa Ukraine rocked za himars za long range itakua moto mnooo.

Hii vita urusi walijua jino moja tu imekwisha ila ndio kwanzaaa kimewaka
 
Urusi baada ya kuona mambo yamekuwa Magumu, wameingiza Frontline S-300 Missiles. Hii inamanisha wameishiwa precision munition. Je, Zitaipiku HIMARS? Sema hizi zinapiga ndege, sijajua kama zinatarget nzuri ya Ardhini. Bora angeleta S-400. Hizi za kizamani kidogo
 
Hizi S-300 ni surface to air missile systems, wenyewe wanataka zitumike kama surface to surface missile ili nao walipue Maghala ya Ukraine kama HIMARS zinavyolipua ya Urusi. Wataalam wa vita wamesema wameanza kuchanganyikiwa. Kabla huu mwezi haujaisha, ataleta hadi S-400. Alijua vita hii mchezo🤣🤣🤣

Nisikilizie HIMARS itakavyo zilipua. Nasikia zipo Mykolaiv, Luhansk na Donetsk tayari.
20220709_191449.jpg

20220709_191452.jpg
 
Je, Urusi wameishiwa air to ground missiles au ni mbinu? Marekani hawezi leta silaha nyingine hadi HIMARS zishindwe. Hadi sasa hivi HIMARS zinawamudu Warusi
20220709_192705.jpg

S-300
20220709_193145.jpg

HIMARS

Mkali nani?
 
Javelin
HIMARS
M777 Howtizers
NLAW
STUGNA-P

ni visilaha vidogo ila moto wake sio wa kinyonge aisee. Siku ambayo marekani nae atacharuka na kumpa Ukraine rocked za himars za long range itakua moto mnooo.

Hii vita urusi walijua jino moja tu imekwisha ila ndio kwanzaaa kimewaka
Hizo silaha zote kwa Mmarekani bi silaha za kawaida tu ... Mediocre yaani. Lakini hiyo javelin inavyochana vifaru advanced Kama karatasi Hadi Mrusia imemshangaza. Kasilaha kadogo kakubeba begani kanachana kifaru Kama tissue.

Huwezi ukadvance hata siku moja vitani Kama mpinzani wako ana javelin hata 20 tu! Hufiki mbali.

Kanagonga long range afu kana usahihi wa level ya Dunia afu pia ni deadly kakifika kanaacha madhara makubwa.

Hapo hatujazungumzia ma M777, Stugna, NLAW e.t.c

Hadi Sasa Hii vita Mrusia hatoboi. Pona yake afurumushe nuclear na nuclear hawezi Dunia haiwezi kumuelewe hata Mchina, mhindi na washirika wenzie watamruka.

Kwanini hutuharibie Dunia yetu kwa maslahi yako?

Show inaanza Sasa.
 
Vita ishakuwa ngumu kwake
Tatizo, hii hauwezi kupiga. Watakaoumia ni Raia. Hii unaweza piga masaki ikaenda Mbagala sababu si kwa kazi hiyo. Wanadai eti wameifanyia programing. Umeishiwa hadi ubadilishe matumizi?
 
Hizi S-300 ni surface to air missile systems, wenyewe wanataka zitumike kama surface to surface missile ili nao walipue Maghala ya Ukraine kama HIMARS zinavyolipua ya Urusi. Wataalam wa vita wamesema wameanza kuchanganyikiwa. Kabla huu mwezi haujaisha, ataleta hadi S-400. Alijua vita hii mchezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nisikilizie HIMARS itakavyo zilipua. Nasikia zipo Mykolaiv, Luhansk na Donetsk tayari.
View attachment 2285568
View attachment 2285569
Akileta hizi Mmarekani anatubadilishia ammunition supply yetu na sisi anatupa advanced weapons kuzidi za Mrusia.

Mrusia Hana futuristic weapons Kama USA. Masilaha yake mengi ni outdated.
 
Hizo silaha zote kwa Mmarekani bi silaha za kawaida tu ... Mediocre yaani. Lakini hiyo javelin inavyochana vifaru advanced Kama karatasi Hadi Mrusia imemshangaza. Kasilaha kadogo kakubeba begani kanachana kifaru Kama tissue.

Huwezi ukadvance hata siku moja vitani Kama mpinzani wako ana javelin hata 20 tu! Hufiki mbali.

Kanagonga long range afu kana usahihi wa level ya Dunia afu pia ni deadly kakifika kanaacha madhara makubwa.

Hapo hatujazungumzia ma M777, Stugna, NLAW e.t.c

Hadi Sasa Hii vita Mrusia hatoboi. Pona yake afurumushe nuclear na nuclear hawezi Dunia haiwezi kumuelewe hata Mchina, mhindi na washirika wenzie watamruka.

Kwanini hutuharibie Dunia yetu kwa maslahi yako?

Show inaanza Sasa.
Mkuu, NLAW ni kitu kingine kabisa kwangu, Mimi naikubali sana.

Zote zinafanya kazi sawa kabisa. Tofauti yake moja ni kwaajili ya Maporini nyingine mjini.

NLAW inapiga kuanzia Mita 20-600. Yaani Mfano Kariakoo zinatumika NLAW sababu kuna majumba mengi na vichochoro. Sema ukipiga inaharibu Kifaru na Waliomo ndani. Ndoo Warusi wakafa sana, wengi walifia ndani ya Vifaru

Javelin inapiga umbali Mrefu kuanzia km 1-2.5. Ikifika kama kawa.

Pia hata bei NLAW ni ndogo kuliko Javelin. Javelin ni $178,000, Wakati NLAW ni $40,000.

Uzito NLAW ni kg 12 wakati Javelin ni kg 22. Hivyo mwanajeshi Vitani anaweza beba NLAW nyingi hadu 5 mtu mmoja na kila moja inaondoka na kifaru(Kumbuka haikosei) lakini Javelin atabeba mbili tu. So wanajeshi 10 wenye NLAW wanalipua Vifaru 50 Wakati Wanajeshi 10 wenye Javelin wanalipua vifaru 10.
An_Australian_soldier_carrying_two_Javelin_missiles_to_a_firing_point_at_the_Besmaya_Range_Com...jpg

Sema kuna Silaha Marekani alileta akaziondoa Frontline sijajua kwanini. Kuna zile drone za Switchblade drones au kamikaze. Zilitumika mwezi mmoja tu. Marekani alileta 90
20220709_204908.jpg

MBT LAW
 
Kipindi Urusi anavamia, NLAW ilitusaidia sana pale Kyiv. Jamaa alikuja na Vifaru kama sisimizi kila Mtaa. Lakini vyote vikaisha. Marekani alikuja kuketa Javelin baadaye sana. Uingereza ndo ilikuwa ya kwaza kuketa NLAW. Watu walipewa Training siku 3 wamaambiwa mtajua mbele ya Safari. Waukraine walizipenda sana. Hadi wakina bibi wakatumia. Wakulima ndo wakaanza kuokota Vifaru vya kuvuta matela kutoka mashambani
 
Kipindi Urusi anavamia, NLAW ilitusaidia sana pale Kyiv. Jamaa alikuja na Vifaru kama sisimizi kila Mtaa. Lakini vyote vikaisha. Marekani alikuja kuketa Javelin baadaye sana. Uingereza ndo ilikuwa ya kwaza kuketa NLAW. Watu walipewa Training siku 3 wamaambiwa mtajua mbele ya Safari. Waukraine walizipenda sana. Hadi wakina bibi wakatumia. Wakulima ndo wakaanza kuokota Vifaru vya kuvuta matela kutoka mashambani
View attachment 2285639
[emoji16][emoji16][emoji16]wazee wa trekta walijibebe sana vifaru. Mtu anakatiza katika mtaani anakuta kifara kinahanya hanya tu , anashtua wana wanabeba
 
Back
Top Bottom