Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Na 100% US ndo anatoa intel na coordinates za wapi pakupiga, maana hataki kwa namna yoyote ile himars idakwe au ilipuliwe
Wale jamaa wana intelligence ya hali ya Juu. Ndo maana Urusi anabaki anashangaa imekuaje. Ndo walisaidia intelligence ya Kisiwa cha Snake. Na ndio walishauri hii Vita ili iishe, Crimea inatakiwa irudi Ukraine.
 
HIMARS MLRS mpya, ambazo zimeletwa Ukraine, zinapiga risasi mbali zaidi na zina usahihi zaidi
Screenshot_20220709-115950.png
 
Hivi inakuaje Taifa kubwa kama Urusi, Silaha zinatoka Marekani hadi zinafika Ukraine bila yeye kujua? Kwanini hazilipua kabla hazijafika? Jibu ni hana uwezo na vifaa vyake ni Duni
20220709_120540.jpg
20220709_120600.jpg
20220709_120603.jpg
20220709_120620.jpg
20220709_120632.jpg
20220709_120636.jpg
20220709_120640.jpg
 
Javelin Sasa hivi zinapumua zile zilikuwa kwa ajili ya kuchana vifaru vinavyo advance Frontline.

HIMARS kwa Sasa ndo ziko mzigoni. USA hawezi kufail Hii task ndogo tu.
Yaani USA ni noma ana silaha za ajabu alafu kila silaha ina kazi yake kwenye battle field duuh am kweli USA ni super power wazee jamaa waNajua sana san USA ndo jeshi la dunia hutaki kataa anakuletea aina ya SILAHA kutokana na wewe unavyokuja
 
Hakuna raha kama pale Wanajeshi wa Urusi wanapoomba kutekwa. Yaani wanaweka mikono Juu kujisalimisha, bila kujua waliowalipua wapo mbali sana.

Hadi wawafikie kwa mguu ni nusu saa hadi lisaa. Umbali wa Mwenge Morocco. Hadi afike mikono unakuwa ushaishusha hivyo unalipuliwa tu
IMG_20220709_121014_487.jpg
 
Kwenye Vita mtu unajifunza mengi. Kumbe haya majani yanaweza tumika kama mtego kwa adui. Yakikunasa ukayavuta ni kama unavuta fuse ya bomu. Hivyo unapotembea kuwa makini jani lisikuguse sababu linashika kwenye nguo kama ndoano. Hii TIP itawasaidia wanajeshi wetu wanaoenda kupambana Congo.

Vilevile unaweza kumtega adui kwa haya majani

Haya ndo madhara ya kufuata nyayo za adui, anaacha mitego njiani
View attachment 2283265

Nimepata somo.
 
Kwenye Vita mtu unajifunza mengi. Kumbe haya majani yanaweza tumika kama mtego kwa adui. Yakikunasa ukayavuta ni kama unavuta fuse ya bomu. Hivyo unapotembea kuwa makini jani lisikuguse sababu linashika kwenye nguo kama ndoano. Hii TIP itawasaidia wanajeshi wetu wanaoenda kupambana Congo.

Vilevile unaweza kumtega adui kwa haya majani

Haya ndo madhara ya kufuata nyayo za adui, anaacha mitego njiani
View attachment 2283265

Nimepata somo.
 
Hivi ndivyo Silaha zinasafirishwa hadi Ukraine
 
Wale jamaa wana intelligence ya hali ya Juu. Ndo maana Urusi anabaki anashangaa imekuaje. Ndo walisaidia intelligence ya Kisiwa cha Snake. Na ndio walishauri hii Vita ili iishe, Crimea inatakiwa irudi Ukraine.
Naona US ana lengo la Urusi kuwa Zimbabwe...
Anajua kabisa lengo la Mrusi na China lilikuwa 1, ila kwa sasa China kaogopa jinsi US anavyotoa msaada Ukraine, anajua kabisa Taiwan hatadondoka kirahisi
 
Back
Top Bottom