Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Jeshi la Urusi makombora yake mengi yametua kwenye makazi ya Watu au sehemu zenye mikusanyiko ya Watu, kuliko Makombora yaliyotua kwenye kambi za Jeshi la Ukraine. Hatu wa maswala ya vita wanahisi mabomu yao hayana shabaha. Raia wengi, watoto wameuliwa na Urusi
 
Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni Azov wanafanya yao. Mrusi lazima aadabishwe
 
Urusi wamekutana na Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…