figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #3,921
Kisiwa kinalindwa na mifumo. So ndege ikisogea inalipuliwa.Hawana shabaha au walishambulia kwa woga bila umakini au ni wanafunzi wa mazoezi ya kutumia ndege kwa vitendo(Field practicals) - Kama ingeshushwa mojawapo ya hizo ndege ingependeza sana.
Wamepoteana hadi wanadunguana wenyewe kwa wenyewe[emoji28]Mfumo wa Ulinzi wa anga wa Urusi aina ya SA-23 SAM System umedungua ndege yao ya Kivita ya Urusi aina ya Su-35 huko Kherson. Hii inaitwa FRIENDLY FIRE
View attachment 2290625
Wanampango wa kuwapa kadhaa Ukraine ama vipi?Hizi ndo ARCHER howitzer system za Sweden. Unaambiwa duniani zipo 48 tu.
Ndani ya Dakika 3 inapiga Makombora 21 na ina shabaha ya Umbali wa km 30 hadi 60.
View attachment 2290957
Hilo ndo linaitwa Kosa lenye bahati. Ni advantage kwa Ukraine.Wamepoteana hadi wanadunguana wenyewe kwa wenyewe[emoji28]
Mashine za kazi hizi zimeenea vumbi jekundu safi sana.HIMARS zimemfanya Mrusi ajione si lolote si chochote. Anajitafakari
View attachment 2291231
... nimependa hiyo cabin; kwanza haina sura; pili ni heavy metal fulani hivi thickness zaidi ya futi.Mashine za kazi hizi zimeenea vumbi jekundu safi sana.
Hey! Hiko sio Wanawacharaza ila wanawakung'uta kwelikweli. AZOV ni moto balaa. Mrusi alikuwa na majigambo sana pale Mariupol kwenye kiwanda cha chuma; sasa chuma kimemrudia.Risasi za Kikatili, vijana wasio na kanuni Azov
View attachment 2291477