figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #3,961
... ni kipi cha uongo kwenye huu uzi?Huu uzi nikiwa na stress naingia hapa nachekaaaaaaa kisha nalala zangu.
Yaan mtoa mada anajijibu mwenyewe, anacheka mwenyewe, anajipa taarifa na kujikanusha mwenyewe.
Zinatoka nchi gani hizi?Hizi ndo M270 Multiple Launch Rocket System(MLRS) zimepokelewa Ukraine. Je, wanalenga kubomoa daraja la Crimea? Zinafanya kazi kama HIMARS tu.. Hizi zinapiga km 300.
View attachment 2292277View attachment 2292278View attachment 2292279View attachment 2292280View attachment 2292281View attachment 2292282View attachment 2292283
MarekaniZinatoka nchi gani hizi?
Hahahaaa!!Hii ndio kiboko yao
Urusi anatia aibuAnaejiita super power kaenda kuomba msaada Iran.
Kwa ground mambo ni tofauti saana.View attachment 2293213View attachment 2293214
Hii nmeogopa aisee mbwa anakula dudu mama weee huu unyama hapana aisee mpaka mwili umesisimkaUrusi wamekutana na Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni. Picha za Warusi leo Zinatosha.. Sababu wamekufa wengi
View attachment 2291658
Mhh! Iran mwenyewe ya kwake yanamshinda. Labda ampe silaha chakavu au ...Anaejiita super power kaenda kuomba msaada Iran.
Kwa ground mambo ni tofauti saana.View attachment 2293213View attachment 2293214
Iran Hana silaha za kuchezea ndio maana wameenda mara mbili kuomba ila Kama Iran anaonekana hatoi ushirikiano wa kutosha.Mhh! Iran mwenyewe ya kwake yanamshinda. Labda ampe silaha chakavu au ...