Hamna makombora yasiyoonekana wewe mpuuzi. Vipi Urusi anaweza kuzuia HIMARS?Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Hilo ndo nasubirMipango imekamilika. Hivi karibuni, Ukraine inaingia Crimea kwa kutumia HIMARS
View attachment 2293988
Kafagie uwanja kabla mme wa dada yako hajarudiWw nae had nato wenzako wamekuchoka..unaaibisha jf..the home of GT
UK wamesema wamefika 50KHadi sasa Wanajeshi wa Kirusi elfu 38 wamekifa. Hawa ni wale miili yao imehesabiwa. Wapo waliopotea wengine hawajilikani wapo zaidi ya elfu 20.
View attachment 2293971
Una akili za kitoto mnoNyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Na HIMARS za kupiga umbali wa KM 300 zipo njiani zinakuja. Daraja la urusi huko Crimea likae mkao wa kula, litachapwa muda si mrefu.Kazi nzuri ya HIMARS kwenye ghala la Urusi huko Kherson
View attachment 2294273
Mmhh; Mheshimiwa. Mbona tunaingia mwezi wa sita (zaidi ya siku 180)tangu ngoma ianze? Yy alisema ni sop. ya masaa 72 i.e. Three (3)days lakini mpaka sasa ziii. Huoni kwamba anafedheheka kwa Majigambo hayo(ikiwa ni pamoja na nyie pro-Urusi) na amebakia kukimbia-kimbia bila hata viatu? Je, anakimbia vijambo vyetu au kichapo? Jitafakari.Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Yaani hii vita ni ya Kidigitali zaidi... maana unaambia tutapiga point fulani na kweli panapigwa hapo na huna uwezo wa kuzuia au kudhibiti. Sasa hilo daraja cjui Mrusi atalihamisha kwa kulibeba au vp maana kesha ambiwa hilo ni sawa na halipo na hiyo ndo habari ya mjini.Na HIMARS za kupiga umbali wa KM 300 zipo njiani zinakuja. Daraja la urusi huko Crimea likae mkao wa kula, litachapwa muda si mrefu.
Dah; wakuu wa majeshi na majenerali wa ukweli ndio wanatakiwa waanzie level hizi sasa.Huyu dogo ana miaka 19 wapambanaji wenzake wanamuita "Zaporizhzhia Avenger" ndo aloangusha ndege ya Urusi aina ya Su-25 kwa kutumia Igla (Needle) man-portable-defense-system. Hii ni ndege ya Sita anaangusha. Pia kashaangusha cruise missile. Anapigiwa chapuo awe promoted.
Wakongwe wanamuuliza anafanyajefanyaje? Hajafikisha hata miaka 20
View attachment 2294460View attachment 2294461
Asante boss.Nyooo....marekani na ujanja wake wote hana defence system ya kuzuia makombora ya mrusi..calibr..supersonic..hayaonekan..nyie endeleeni kujamba jamba tuu..wakat mrusi bado yuko kwenye special operation..siku akisema ni total war..utakimbia na nguo kichwani na kathread kako uchwara haka
Achana naye mkuu. Wanaujua ukweli. Nia yake mtukanane. Wafuasi wa Urusi wamejariwa matusi. Huwa siwajibuMmhh; Mheshimiwa. Mbona tunaingia mwezi wa sita (zaidi ya siku 180)tangu ngoma ianze? Yy alisema ni sop. ya masaa 72 i.e. Three (3)days lakini mpaka sasa ziii. Huoni kwamba anafedheheka kwa Majigambo hayo(ikiwa ni pamoja na nyie pro-Urusi) na amebakia kukimbia-kimbia bila hata viatu? Je, anakimbia vijambo vyetu au kichapo? Jitafakari.
Usijidanganye bro. hakuna siku kuna Total War zaidi ya hii ambayo imemlazimu bila aibu ameshaenda kupiga magoti kwa Iran kuomba msaada.
Hilo nitalizingatia - AsanteAchana naye mkuu. Wanaujua ukweli. Nia yake mtukanane. Wafuasi wa Urusi wamejariwa matusi. Huwa siwajibu
Nawakubali sana vijana wasio na kanuni. No negotiations, No mercy, Death assured and guaranteed.Leo Urusi wamekufa na kuretreat Hryhorivka, Berestove, Bilohorivka, Yakovlivka na Novoluhans'ke. Urusi siku hizi kuretreat kawaida tu. Ogopa risasi za Kikatili
View attachment 2294491
And no no apologiesNawakubali sana vijana wasio na kanuni. No negotiations, No mercy, Death assured and guaranteed.
Hata waziri wa Ulinzi kasema. Wakija kwa trucks ni Vizuri, sababu tunawapiga kuanzia nyuma. Mwisho wa siku wataishia kwao. Sasa akili ya Ukraine ipo Crimea.. Muda wowote kitawaka. Urusi tushawamuduSasa hivi Urusi inaogopa kutunza silaha kwenye maghala ya silaha huko Mashariki mwa Ukraine, inachokifanya Urusi kwa sasa ni kupakua silaha huko mbali na kuzijaza kwenye magari ya kusafirishia na kuzipeleka msitari wa mbele. Hata hivyo hiyo ni risky pia itarudi kama mwanzoni mwa vita ambapo gari zilikuwa zinawindwa na drones na kulipuliwa.