Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ushahidi usiotiliwa shaka ndiyo hasa inatakiwa hapa. Asilete, screenshot za video games baaasi!!!
 
Ha ha ha haaaa! Nakupata sana, Mkuu. Maana uzi ulikuwa umepoa sana.
====
Yaani Ukraine akamate mtambo huo wa Russia ukiwa intact, Halafu Al Jazeera , BBC, CNN ,DW na wapambe wao wakae kimya!? Kuna mawili, yawezekana Ukraine wameokota mwanasesere wa mtambo huo!
 
Oiyeyai; Mkuu, Hivi midoli inapelekwaga kwenye vita halisi? Inawezekana pia hao Aljazeera, BBC n.k. na wao wanashangaa - hawaamini kilichotokea.
Lakini kuna wakati pia Warusi waliwahi kukimbia na kutelekeza vifaa vyao na Ukraine akajiokotea. Kwa hiyo labda inawezekana na hili likawa ni mojawapo ya "yaliyookotwa" .
 
Utakuwa unarejea Suala la Kisiwa cha Nyoka karibu na Odessa.
Ilikuwa hivi, Ulaya na Marekani walipiga kelele kuwa Russia anazuia chakula kisitoke Ukraine kupitia bandari zao. Russia akawaambia Neo nazi wametega mabomu baharini! Wakawa hawaamini.

Alichokifanya Russia ni kuondoa defensive systems zake kutoka Kisiwa hicho cha Nyoka. Akaacha skrepa ya baadhi ya vifaa hivyo. Alifanya hivyo kuonyesha "good will" kuwa Russia hana nia ya kuua raia wa Ulimwengu kwa njaa. Heh! Neo Nazi wa Ukraine kuona hivyo, warusha mabomu kwenye Kisiwa hicho, wakaharibu skrepa zilizoharibika lengo wapate picha za kuwashawishi Ulaya na Marekani kuwa wanafanya vizuri front line dhidi ya Russia. Yaani walirudia kosa kama lile walilofanya Bucha kwa kuua raia wao kisha kuwasinvizia Russia lengo ni kutumia vibaya good will ya Russia baada ya kuona Ukraine kakubali mazungumzo!!!!
===
Tupo wote Mkuu nadhani katika safari yetu ya kuburudisha na kuchangamsha uzi huu. Ha ha hahahaha haaaa!!!
 
Russia Hana good will.
 
Mkuu unatujazia miandishi tu huku uzi huu sio wa kubishana tumewachia kule huu wa video na picha maneno hayana nafasi
 
Hawa ni Wanajeshi wa Urusi. Angalia wanavyoigiza. Kwamba wanashambulia mbele na nyuma. Vitani adui anakua mbele, nyumba wanakuwepo wenzako. Lakini eti hawa wanapiga mbele na nyuma halafu wanapost eti tupo Frontline🤣🤣. Ndo maana wanakufa. Hapo ukute anaiga risasi mti🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Ila Azov jamani, acha Warusi wawachukie, wana roho ngumu Azov. Hawana huruma hata chembe. Mrusi alikutana na Azov anajua ni kufa tu, bora ajipige risasi😂😂
Your browser is not able to display this video.
 
Ndani ya Kifaru aina ya BTR-4
Your browser is not able to display this video.
 
Hayo ni matumizi mabovu ya rasilimali/vitendea kazi. Hiyo movie aipeleke huko Hollywood.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…