Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hii inaitwa Stormer HVM (High Velocity Missile) air defense systems. Inaweza ikadetect ndege na Helkopta zikiwa umbali wq 18 km na 8 km. Sasa 6 zipo Frontline. Zimetoka Uingereza
Your browser is not able to display this video.
 
Risasi za Kikatili
Your browser is not able to display this video.
 
Wanajijua!!!
Mkuu tulia hapa kwenye huu uzi upate habari na ushahidi wa picha na video sio kule kwenu mnapigana kamba na habari fake za warusi za telegram. Majuzi hapa mlisema zelensky yupo kwenye critical condition jamaa akawajibu kwa kupost short video clip.

By the way tunaomba picha za HIMARS nne zilizoripuliwa na urusi mkuu.
 
Mavamizi yanazidi kuteketea.
 

Attachments

  • Screenshot_20220725-113735.jpg
    414.1 KB · Views: 16
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…