Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa ni Kherkiv, Kikosi cha Ukraine cha 45th Brigade kimesambaratisha Magari ya Kijeshi ya Urusi yaliyokuwa yakishambulia Frontline wa Ukraine
Hadi raha kutumia technology ya kisasa kumwangamiza adui. Kama kunguru anavyodonoa kumbikumbi. Ukiingia to kwenye target lazima kende ziruke juu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hatari sana hii kitu. Shikamoo HIMARS
 
Mkuu, Safi sana. Uzi leo umechangamka kweli-kweli. Hapa jamvini cjawaona Warusi wa Rau madukani.
 
Propagandists wa Kirusi wanasambaza picha na video feki kuwa wamepiga HIMARS kumbe wamepiga gari ya kuvutia mizinga ya M777 ambayo ina kichwa kama HIMARS lakini ni tofauti




HIYO YA JUU NDO WAMEPIGA

Lakini wao wanadai eti wamepiga hii ya Chini


HII NDO HIMARS

Sasa angalia uso wa HIMARS ambayo ina Screw nne usoni zilizokaa horizontal, halafu linganisha na hii picha wanayosambaza eti HIMARS imepigwa.


Utaona wazi hii picha ya gari iliyoharibiwa inafanana na ile picha ya gari la mwanzo lakini siyo HIMARS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…