Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ni kweli. Warusi wasingekuwa wanatumia mwamvuli wa kujificha kwenye makazi ya watu na vifaru vyao, hii vita ingekuwa imeshaisha na Crimea ingekuwa tayari imeshakombolewa.

Ndiyo maana Ukraine wameamua kutumia mbinu mbadala wa kuwamaliza nguvu warusi kwa kukata njia ya supplies ya silaha na kusaka mangala ya silaha ili wayaangamize. Hii itawafanya warusi waondoke wenyewe (retreat) bila kuleta madhara makubwa kwa raia na mali zao.

Tumeshuhudia vita vya maporini wanavyoangamizwa na vifaru vyao. Kwenye miji vita imekuwa ngumu sana sababu adui wanajichanganya na raia. Wanaweka vifaru kwenye fensi za watu. Warusi wanajificha kwenye nyumba za raia. Ndiyo maana Ukraine wanahitaji Drone za kutosha kutafuta vifaru na warusi kwenye makazi ya watu.
Na sasa ndio wametisha zaidi, wameenda kujificha kwenye mitambo ya nuclear.
Ila mimi siwalaumu hawa warusi sababu wanadai tarehe 24 February walipoivamia Ukraine hawakuwa wakijuwa kama wanafanya uvamizi.

wanadai walipokuwa wakisikia mizinga walikuwa wanasonga mbele wakijua kwamba wanakabiliana na majeshi ya NATO, baada ya kufika UKRAINE hasa ndo wakakuta hakuna NATO wala sisimizi bali raia wasio na hatia wa Ukraine.

Yaani kwa sasa, wote watatu, Raia wa Ukraine, Wanajeshi wa Ukraine na Wanajeshi wa Urusi wote ni wahanga wa Ukichaa wa Putin.

wote wanaviziana kuuana, sababu hawaaminiani.
 
Na sasa ndio wametisha zaidi, wameenda kujificha kwenye mitambo ya nuclear.
Ila mimi siwalaumu hawa warusi sababu wanadai tarehe 24 February walipoivamia Ukraine hawakuwa wakijuwa kama wanafanya uvamizi.

wanadai walipokuwa wakisikia mizinga walikuwa wanasonga mbele wakijua kwamba wanakabiliana na majeshi ya NATO, baada ya kufika UKRAINE hasa ndo wakakuta hakuna NATO wala sisimizi bali raia wasio na hatia wa Ukraine.

Yaani kwa sasa, wote watatu, Raia wa Ukraine, Wanajeshi wa Ukraine na Wanajeshi wa Urusi wote ni wahanga wa Ukichaa wa Putin.

wote wanaviziana kuuana, sababu hawaaminiani.
Hawawezi kuaminiana kwa sababu Warusi wametumwa/wamekuja Ukraine kwa Agizo la Putin(Hawajaitwa na Ukraine), raia wa Ukraine baadhi yao wamenaswa ktk mapigano na ili wasiuawe kikatili na majeshi ya Urusi, inabidi wawe watiifu kwa lazima na hivyo kwa shuruti wanakubali majumba yao yatumike kama maficho kwa wanajeshi ya Warusi. Wanajeshi wa Ukraine wapo kutimiza kiapo cha Kuilinda nchi yao dhidi ya Maadui wa nje na ndani dhidi ya Taifa lao(Wanatimiza wajibu wao) na wanatii agizo la Rais wao Zelensky.
Kwa mantiki hiyo wote watatu, kama ulivyosema, utakuta wanawatumikia mabwana watatu: 1. Wale wanaomtii Putin 2. Wale walionaswa ktk Mapigano wanapokea Amri ya Wanajeshi wa Urussi, 3. Wanajeshi wa Ukraine wanaotii Amri ya Rais wao Zelensky.
Katika Hali kama hiyo, ni kweli utakuta wote ni Wahanga kutokana na Ukichaa wa Putin.
 
BIG YES,

Kama wao wanavyowachukia wa Ukraine. Unyama waliofanya BUCHA haumithiriki.

Pili wewe tulifurahia huo uonevu wa kuvamia na kumpiga mwenzako bila kosa.

Tatu, unafuatilia unyama wanaofanya kwa raia (Civilian) kinyume na sheria za kivita.

Nne, wewe unafurahia wanavyopiga makazi ya watu (apartments) na kuharibu miundo mbinu na kuacha magofu.
Naongezea tu:
Tano, Wewe una furahia huyo Mrusi anapokuwa na kuonesha KIBURI kwa kukataa kuacha vita au Uvamizi kwa nchi nyingine hususan JIRANI yake.
Sita, Wewe unafurahia majibu yake ya Kejeli, Ufedhuli, Vitisho na Dharau anapokemea na Kuagiza Mataifa mengine (hata UN) eti wasimsaidie na wajiepushe na tena wamwache aendelee na uonevu wake dhidi ya Ukraine; vinginevyo na wao watajumlishwa hapo.
Huoni kama anakufuru?
 
Na sasa ndio wametisha zaidi, wameenda kujificha kwenye mitambo ya nuclear.
Ila mimi siwalaumu hawa warusi sababu wanadai tarehe 24 February walipoivamia Ukraine hawakuwa wakijuwa kama wanafanya uvamizi.

wanadai walipokuwa wakisikia mizinga walikuwa wanasonga mbele wakijua kwamba wanakabiliana na majeshi ya NATO, baada ya kufika UKRAINE hasa ndo wakakuta hakuna NATO wala sisimizi bali raia wasio na hatia wa Ukraine.

Yaani kwa sasa, wote watatu, Raia wa Ukraine, Wanajeshi wa Ukraine na Wanajeshi wa Urusi wote ni wahanga wa Ukichaa wa Putin.

wote wanaviziana kuuana, sababu hawaaminiani.
😂😂😂 wametisha sana hadi wanaenda kuingia uvunguni wa vitanda vya raia kukimbia Drones na risasi za wanajeshi wa ukraine.
 
😂😂😂 wametisha sana hadi wanaenda kuingia uvunguni wa vitanda vya raia kukimbia Drones na risasi za wanajeshi wa ukraine.
Hahahahaaa. Kama ninawaona vile. Sasa ni nini kilichowaleta Ukraine?😛
 
20220828_000630.jpg
20220828_000632.jpg
20220828_000635.jpg
 
Baada ya kuwateka Warusi, jamaa ikabidi atest Tactical vest wenyewe wanaziita "SARMAT-M" za Urusi. Zinasaidia mwanajeshi akishambuliwa risasi isimfikie. Inakinga kifua na mgongo. Sasa angalia risasi zinavyopenya kirahisi
 
Back
Top Bottom