Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tunasonga mbele mdogo mdogo. Urusi hawataki tupambane huku. Wanarusha makombora Mijini ili kufanya uharibifu ili wajisifie. Wanatakiwa wabomoe kambi za jeshi la ukraine sio Shule, Hospitali na Vituo vya treni. Hii vita Urusi hawatoboi
 
Mariupol imetekwa na Wavamizi, lakini jana siku ya Uhuru wananchi wamepandisha Bendera za Ukraine. Eti Urusi wameanza kutafuta waliopandisha bendera. Huu ni ujumbe tosha kwa Warusi kwamba Mariupol ni Ukraine
 
Mikandamizo inaendelea
IMG_20220825_203246_334.jpg
 
Tunaposema Azov, muwe mnaelewa, ni Battalion ambayo kutokana na Maovu ya Urusi, Ubinadamu ulishawaisha. Waanaamin watakufa, hivyo wanahakikisha wanaua Warusi wengi kabla wao hawajafa. Hawaamin kwenye kujisalimisha kwani wenzao wamekufa bila hata kujisalimisha.. So wameapa kuua. Wale Warusi waliomba kujisalimisha ila sio mikononi mwa Azov, Walifuatwa na kikosi kutoka 93rd Brigade.
 
Ndege za Ukraine zinapita chini ya nguzo za umeme.
View attachment 2335409
Aisee, Duh! hao jamaa ni noma. Ni mashujaa mno. Huko wanakoelekea na hizo chopa wakimkuta Mrusi cjui watamfanyaje kweli - Watamalizia hasira zao kwake; watamchakaza kwa hasira kali mno kwa sababu amewafanya wapite mahali ambapo haitakiwi na ni hatari kubwa kupita kwa ndege. Heko Marubani wa Ukraine.
 
Back
Top Bottom