Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Dah. Mi na jaribu kujiweka katika hiyo situation najiona ni mtu nisieweza nyenyua hata kichwa.
Yaan.. Clip hiyo ni kama unaangalia movie ya extraction😂😂.
 

A Russian female commander who boasted about how she enjoyed killing Ukrainians and whose troops fired on civilians in the Donbas region has been killed in a missile strike.

Lieutenant Colonel Olga 'Kursa' Kachura, 52, was killed instantly after a Ukrainian missile hit her car as she was driving in the city of Horlivka, in the Donetsk region of Ukraine.
 
Ukikaa vitani , kuna kuizoea, unazoea milio ya risasi mabomu etc
Yaani mwili unaadapt kabisa
 
Habari njema hizi,imekuaje wakaachiwa maana Putin si alikomaa nao?
Imebidi alazimike kuwaachia kwasababu kuna watu muhimu na yeye alikuwa anashinikizwa.
mfano huyu hapa:

Lieutenant General Andrei Sychevoi among a group of Russian troops handcuffed on their knees. Another social media user said they were near Balakliya, in the Kharkiv region. Apparently Sychevoi was one of the few who did not flee.
 
OK,asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…