Ni kweli ,sidhani pia washauri wake watakubali atumie nyuklia aiharibu Russia kwa maslahi yake mwenyewe.Mkwara wa ku'tishia nyukilia mimi nauita ni "Bogus Threats". Russia hawezi kutumia nyukilia anajua kabisa kitakachofuata dhidi yake na watu wake. U.S, NATO na washirika wata respond accordingly.
Daaah hawa Ukraine wanashabaha hatareVita vya Msituni Urusi haviwezi. Angalia wanavyoteketezwa[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2367592
Na wengi watafanya hivyoSijawahi kuona popote duniani kazi za kulazimisha, ni mara ya kwanza kuona Urusi wanalazimisha watu wao waende vitani baada ya kuona mambo yamekuwa mazito. Mtu huyo hata ukimlazimisha ataweza kupigana wakati yuko tayari ku surrender hata kabla ya kusikia risasi.
Wengi wameshafanya uharifu sana, EU hawawezi kubali hilo swala, ni sawa unamkaribisha adui kitandani.Yaani EU ikitoa ofa ya kuwapa hifadhi ya ukimbizi askari wa Urusi, watakimbia wengi
Kapeleka kufanyia majaribia drone za IranIsrael wameingiza Ukriane ant drones system(the Drone Dome) kuapambana na Drone za Urusi. Huu ndo mwisho wa drones za Urusi. Mzigo Ushafika Odessa.. Kumbuka tangu Vita ianze, Urusi wameshindwa kabisa kusogelea Mji wa Odessa wenye bandari ambayo inafanya kazi hadi leo.
View attachment 2368150
Nukes hataweza itumiaIran alimpa drones Russia. Sasa hivi huko Iran kuna maandamano kupinga kwa yule binti(22) kuuawa na Polisi kisa hajavaa hijabu.
Wairan wamekasirika sana.Serikali imeshut down internet, US imesema itahakikisha mitandao inapatikana hasa Instagram na Whsap ambayo inatumiwa na watu wengi zaidi.
Facebook nao wanasema wanafanya juu chini ili ipatikane. So amepewa kazi ya kuzima maandamano nchini mwake huku Russia akipelekewa moto.
China na India zmeshajitenga zinamwambia amalize vita tu.North Korea yeye anarusha ballistic za majaribio. Ukiangalia hii vita inaelekea kuisha au Putin afanye maamuzi ya uwendawazimu azifyatue nyuklia kwamba sote tukose ambavyo ataiumiza sana nchi yake.
Je watamruhusu?
Wakiomba Afrika, wanaweza kupata vijana wengi wenye nia ya kupigana kwa kujiunga na jeshi laoSijawahi kuona popote duniani kazi za kulazimisha, ni mara ya kwanza kuona Urusi wanalazimisha watu wao waende vitani baada ya kuona mambo yamekuwa mazito. Mtu huyo hata ukimlazimisha ataweza kupigana wakati yuko tayari ku surrender hata kabla ya kusikia risasi.
hahahaa.. Mwenzio anatoa ushuhuda huku🤣🤣🤣Wakiomba Afrika, wanaweza kupata vijana wengi wenye nia ya kupigana kwa kujiunga na jeshi lao
Mkuu, Kwa hali ilivyo kwa sasa, kunaweza kukatokea vita vya wenyewe kwa wenyewe Warussi i.e. wale wanaomwunga mkono Putin na wale wanaoupinga uongozi wake.Iran alimpa drones Russia. Sasa hivi huko Iran kuna maandamano kupinga kwa yule binti(22) kuuawa na Polisi kisa hajavaa hijabu.
Wairan wamekasirika sana.Serikali imeshut down internet, US imesema itahakikisha mitandao inapatikana hasa Instagram na Whsap ambayo inatumiwa na watu wengi zaidi.
Facebook nao wanasema wanafanya juu chini ili ipatikane. So amepewa kazi ya kuzima maandamano nchini mwake huku Russia akipelekewa moto.
China na India zmeshajitenga zinamwambia amalize vita tu.North Korea yeye anarusha ballistic za majaribio. Ukiangalia hii vita inaelekea kuisha au Putin afanye maamuzi ya uwendawazimu azifyatue nyuklia kwamba sote tukose ambavyo ataiumiza sana nchi yake.
Je watamruhusu?