figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #601
Huyu Mrusi alikuwa anapiga kinanda au?[emoji28]
Wote wanne walifia hapo hapo. Vitani kuna watu wa kuentertain baada ya mapambano ya mchana kutwa. Ndo maana hata tanzania kila Kambi ina Band ya Muziki. Wakina Komba walikuwa ni Waburudishaji JeshiniHuyu Mrusi alikuwa anapiga kinanda au?[emoji28]
Ok,asanteWote wanne walifia hapo hapo. Vitani kuna watu wa kuentertain baada ya mapambano ya mchana kutwa. Ndo maana hata tanzania kila Kambi ina Band ya Muziki. Wakina Komba walikuwa ni Waburudishaji Jeshini