Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mkuu achana tu na Urusi itafanya nini, ila mie mwenyewe kwa vile nilivyowaaminisha watu kuwa week moja ni kibwa tutakuwa tumemzika Zele lakini hadi siku hii ya leo Super power yupo hoi🤣🤣🤣 naogopa kurudi kijiweni kwangu Iturike
 
Ndioooooo tunawakumbuka mnooo safi sana
 
We are on the blink to nuclear war

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hivi Mkuu, nani hana Nyukilia? Halafu Mrusi anazo za kizamani. Wenzio wanazo mpya. Sababu ana nyuklia ndo aachiwe Ukraine? Tutapambana

Hata mwanzo walidai ana vifaa bora vya kijeshi, lakini tumekuta wa kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…