Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Ukraine imejiokotea kifaru aina ya BTR-80.
Your browser is not able to display this video.
 
Hahahaa.. Kama Movie. Angalia Askari wa Urusi walivtokimbizwa. Hii ni jana maeneo ya Kreminna 09 April 2022
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi wanakufa hadi basi
Your browser is not able to display this video.
 
Azov fighters wakiwaangamiza Warusi Mkoani Mariupol. Silaha iliyotumika ni 30mm cannon
Your browser is not able to display this video.
 
Haya unayoandika hapa yana ukweli?
Mbona naona kwenye vyombo vya habari Ukraine inachapwa vibaya mno.
 

Who are you by the way kunipangia kipi cha kufungua ama kutofungua humu ndani?

Kama unataka Uzi wako usomwe na wa upande wako tu basi andika kisha kabandike chumbani kwako.

Kila siku unabandika habari kuhusu majeshi ya Ukraine yanavyoua kikatili askari wa Russia ila ukikuta mwananchi wa Ukraine kasambazwa ubongo na utumbo unakuja kupiga kelele humu ooh hali za binadamu, ooh vikwazo.....!!!

Dude mmk vita ni vita aisee vikipiganwa nchini kwako usitegemee watakao kufa ni kuku, mbwa au kenge maji.
 
Haya unayoandika hapa yana ukweli?
Mbona naona kwenye vyombo vya habari Ukraine inachapwa vibaya mno.

Mkuu hizi ni Western propaganda, na huyu figa yupo kwa ajili ya kuzieneza kwa brainwashed mind.
 
Usipanik relax kijana binafs sijaona sehem yyte mwenye Uzi alipolaani kuuwawa kwa majeshi ya Ukraine bali nimeona akilaani majeshi ya Urusi kuua raia wasiokuwa na hatia.
Ni kweli Ukraine anachapika ila Urusi kachapika zaidi ukichukulia ukubwa na nguvu alizinazo.
 

Toa ushahidi wa hiki unachokisema,

Laiti kama Russia wangekuwa wamechapika vya kutosha bila shaka majeshi ya Putin yangekwisha surrender. Kila siku tunaona na kusikia Warussi wanasonga mbele na kuleta uharibifu zaidi kwa Ukraine licha ya westerners sanctions, kuingiza vifaa vita na mercenaries.
 

Kupigwa wanapigwa Ukraine lakini athari za vita inaikumba zaidi Ulaya, Amerika na Afrika badala ya Russia.

Hii vita kwa sasa imefikia pazuri sana, yaani ni Russia vs USA/NATO wakiwa uwanja wa mapambano huko Ukraine.
 
Wanasonga mbele kuelea wapi Moscow ama? Maana juz walikaribia kuiteka Kiev mara ghafra hawapo Kiev Sasa wamesonga mbele au nyuma ?
 
Urusi wanapambana kufa kupona. Hawa wamekufa. Hapa ni Olkhivka, Wilayani Kharkiv. Tunasubiri shimo lijae tufukie
 
Hii ni kazi ya wapiganaji wa Azov wanaoisaidia Ukraine. Wapo vizuri sana💪
Your browser is not able to display this video.
 
Hapa ni jirani na Rubezhnoye, Mkoani Luhansk Warusi waliweka nitric acid kwenye kifaru chao, tukakilipua🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…