Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Warusi weusi walituaminisha hii ngoma inahitaji only 72 hours kuchukua Ukraine yote, miezi tisa almost hata kilometa moja hawajavuka na ukiangalia ramani kumbe hata hawajavuka Kherson, hii ni aibu sana kwa Putin, warusi weusi mje mtubu hapa vita mmeshindwa na mkicheza wanaume wataichukua Crimea na kuanza mwendo kueleka Moscow, nime mdharau sana Putin na warusi weusi wa JF
 
Bucha ilipiga resistance moja ya kufa mtu
 
Oh! Mkuu; Toka huko porini broo. Warussi weusi wa Jf cku hizi wamekuwa wakimyaa na wapole sana utadhani wapo kwa kinyozi. Matusi yao yamewaishia kama Warussi OG wa Kherson walivoishiwa silaha na chakula sasa wamebaki kukimbia-kimbia wanadai eti wanaretreat kwa Amri ya mkubwa wao na ni "on Good will". Shenzi kabisa.
 
It seems to be a trap, intelligent info confirmed that there are no signs of Russia troops to move out of the city. Some are staying at resident houses.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]mazungumzo hakuna mpaka atoke wanajeshi wake. Otherwise mbungi ipigwe tu
Anavyobembeleza kwa marekani imshawishi Rais wa Ukraine akubali wakae mezani wayamaliza, utadhani si Putin aliyekuwa jeuri. Kashaanza kutepeta.

Kutokuwa na stock ya kutosha ya silaha (stock level) na uwezo wake wa kuzalisha silaha (production capacity) anaona giza mbele.

Akichutama atakuwa muungwana kuliko kukaza fuvu, mwisho ataaibika sana.
 
Anatamani aondoke ila sasa itakua fedheha ku bwa. Huko Kherson hali si hali[emoji2][emoji2][emoji2]

West wakikomaa kumpa suport mtu huwezi shindana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…