Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hiki kilikuwa kifaru cha Urusi. Kimerekebishwa. Sasa kinaenda Mzigoni
 
Ukraine inashinda hii vita ya Wavamizi wa Urusi
 
Warusi baada ya kuona wanazidiwa, wameamua kukimbilia Mashariki na Kusini mwa Ukraine. Napo tutawafurumisha warudi kwao. Kasikazini mpakani na Belarus kupo salama, hamna fyokofyoko ya Urusi. Wameufyata mkoa.
 
Ungeandika majeshi ya PUTIN ingekuwa sahihi zaidi. Sawa na majeshi ya Nduli Idd Amin kuyaita majeshi ya Uganda. Warusi hawaungi mkono uvamizi na ubeberu huo ni vile wako chini ya dikteta hawana uhuru wa kupinga.
 
Drone ya Ukraine ikionesha Vifaru vya Urusi maeneo ya Rubizhne Mkoani Luhansk baadhi ya Magari yalikuwa yamebeba Nitric acid, ambayo ni hatari kwa binadamu
Your browser is not able to display this video.
 
Baada ya kuwanyang'anya Urusi Kifaru
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Urusi wanavyo chakazwa Mkoani Donbass
Your browser is not able to display this video.
 
Ujerumani wameamka. Watuma Msafara wa Vifaru kuisaidia Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mrusi analia machozi ya damu. Tusingekuja huku, haya yasingenikuta. Kachakazwa
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…