figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #9,001
Ipo hivi, Ukraine wana Frontline na Urusi wana Frontline (Ngome). Hivyo kila upande unataka kuvunja Frontline ya mwingine ili wapate njia. So hivi vifaru 8 vya Ukraine na Helkopta 2, vilienda kushambulia Frontline ya Urusi na kurudi mafichoni. So ukishambulia hivi, adui anajuq Silaha unayotumia na Sehemu ulipo. So lazima uhame mapema ili akipiga asipate kituMhhhh! Bora tu uone kwenye clip kuliko ukawepo hapo physically. Huo mtifuano na vifaru ni balaa. Sasa katika hilo adui ni yupi au hapo ndo adui (Mrussi) anapelekewa moto?
Safi sana Mungu aiwezeshe hii ifanikiwe ili aondoke huyu Dictator Rais wa mileleMoscow kimenuka. Unajua Legion wanawanyong'esha Urusi kimya kimya.. Mikakati yao ya kulipua sehemu nyeti imekaa vizuri. Wapo kila sehemu, Marubani, Wahandisi nk. Hawamtaki Putin so wanatumia silaha walionayo. Ipo siku tutasikia wamelipua Ikulu
View attachment 2422528
Slava Ukraine [emoji1255]Kyiv hakuna Umeme. Wananchi hawalalamiki sababu wanajua Nchi ipo Vitani. Ni vyema hatuna umeme na hatuna Warusi hapa kuliko tuwe na umeme na Warusi wawepo. Urusi leo ilituma missiles 100 kwenye miundombinu na Makazi ya watu. Nisisikie mtu anawalaumu Azov
View attachment 2417828
Slava Ukraine [emoji1255]Vadim Boyko, Navy Colonel na naibu mkuu wa Chuo cha Jeshi la Majini cha Makarov Pacific Higher Naval School huko Vladivostok. Ameuawa kwa kujipiga risasi tano kifuani. Huyu alimobilize Warusi waje Ukraine. Urusi wamesema kauliwa na Magaidi[Edited}
View attachment 2419360
Kichaa uyo mtuMtu mmoja kasababisha wenzake wote wafe
Slava UkraineHawa mateka wanasaidia kuchimba mahandaki Frontline. Wamemuuliza hivi ni kweli Urusi ndo ina jeshi la pili bora Duniani? Akajibu kweli Urusi ya pili, ya kwanza ni Ukriane
View attachment 2421359
HahahaaaHawa Warusi walipoona drone, wakaleta ujanja wa kukimbiakimbia kwa kupishana. Drone inakuacha ukimbie hadi Uchoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2421649
Slava Ukraine [emoji1255]Habari mbaya kwa Pro Urusi. Kiongonzi wa Wagner, Georgy Korvatovsky, aka "Goha" "Gosha", amekufa na kundi lake. Sasa Dunia itakuwa sehemu salama. Huyu jamaa amepigana vita sehemu tofauti kama Georgia, Syria na Central African Republic. Alikuwa tishio. Ila mbwembwe zake zimeishia Ukraine
View attachment 2422702View attachment 2422703
Ninafuraha kufa kwa kiongozi wa magaidi.Georgy Korvatovsky alijifanya kunyoa ndevu asitambulike.. Ila bado akaenda na maji
View attachment 2422707
Nakumbuka wagner walipoteza mobilized prisoners zaidi ya 458 mapema October, 2022.Habari mbaya kwa Pro Urusi. Kiongonzi wa Wagner, Georgy Korvatovsky, aka "Goha" "Gosha", amekufa na kundi lake. Sasa Dunia itakuwa sehemu salama. Huyu jamaa amepigana vita sehemu tofauti kama Georgia, Syria na Central African Republic. Alikuwa tishio. Ila mbwembwe zake zimeishia Ukraine
View attachment 2422702View attachment 2422703
OK. Hit and run au nimechemka bro.Ipo hivi, Ukraine wana Frontline na Urusi wana Frontline (Ngome). Hivyo kila upande unataka kuvunja Frontline ya mwingine ili wapate njia. So hivi vifaru 8 vya Ukraine na Helkopta 2, vilienda kushambulia Frontline ya Urusi na kurudi mafichoni. So ukishambulia hivi, adui anajuq Silaha unayotumia na Sehemu ulipo. So lazima uhame mapema ili akipiga asipate kitu