Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Labda watakuwa wanataka watumie bendera za Ukraine ktk magari yao ili kuviconfuse vikosi vya Ukraine
Yanafanyikia katikati ya Urusi, sio Uwanja wa Vita. Wanarekodi propaganda. Watajiteka na wengine kujisalimisha. Ni propaganda za vita kuwalaghai wananchi wa Urusi. Juzi putin alikaa kwa chai na wazazi wa wanajeshi walio Ukriane lakini chai hakunywa🤣🤣
 
Roho yake Putin haijatulia ndani mwake, na haitatulia hadi hapo atakapothubutu kuisitisha vita aliyoianzisha kijeuri. Damu isiyo na hatia inayomwagika ya Waukraine na Warussi ndugu zake inamlilia daima kwani hapakuwepo na sababu za kimsingi za kuanzisha vita hiyo. Dhambi hiyo itaendelea kumuuma daima dumu.
 
Proved hata viongozi wa serikali ya Marekani hawana taarifa za usahihi za hii Vita,because some of the sources are American leaders themselves!

Na hiyo Sputnik unayo ongelea mimi I have never quoted it.Even though Sputnik,RT ni bora kuliko Mockingbird Media sources kama the CNN,BBC,Aljazeera,SkyNews,Fox,CNBC,dubious sources like the Sun etc.

Let me tell you Proved,my sources are independent sources 100% reliable and have no conflict of interest in the War,
kinachoangaliwa ni truth.

Kinacho sumbua hapa ni kwamba sources ninazotumia ni sumbua kichwa,pole sana.Anyway nitaendelea kutesa kambi yako,get prepared for more.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…