Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

MGM-140 Army Tactical Missile System (ATACMS) is a surface-to-surface missile. Makombora ya Masafa mrefu. Yakifika, Urusi wataanza kuondoka wenyewe. Makombora haya yapiga shabaha kwa usahihi umbali wa km 300. Pia inaweza kutumika kwenye M270 Multiple Launch Rocket System (MLRS) na HIMARS. Lina uzito wa kg 1,670.
View attachment 2463851View attachment 2463852View attachment 2463853View attachment 2463854View attachment 2463855View attachment 2463856
Daaah hii muhimu kuja Ukraine kwa ss.
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Amina kaka. Lau ikitokea hivyo tutamshukuru sana Mungu kwani hakuna vita nzuri hata siku moja;
Japo sina undugu na Ukraine, lakini najua thamani ya binadamu na huko wapo binadamu wenzangu kama mm. Haipendezi wakateseka kutokana na uamuzi wa mtu mmoja kuanzisha vita - kitu ambacho kingeliweza kuepukika. Inasikitisha na kuhuzunisha sana kunapokuwepo kwa vita isiyo na sababu za kimsingi. Eti sitaki jirani yangu awe rafiki na fulani. Ndicho anachadai Putin.
Putin is a very hopeless Leader of this century. He is killing innocent people, for no good reasons, especially women and children who can not defend themselves.

He will get the Price of this war sooner.
Our Dictator uchwara killed and harassed people, but God gave him a good reward. He victimized him.
 
Naskia na kuona kuwa urusi inaripua miundo mbinu na wakati mwingine hupiga mpaka makazi ya watu wasio na hatia,swali langu kwanini ukraini nayo kisiwepo kikosi maalumu Kwa ajili ya kulipiza kisasi Kwa usawa ule ule ili mzani ubalansi,akipiga makazi ya watu ukraini nao wanapiga huko kwao yaani tunalia sote.Nafikr wakifanya hivi hii vita itaisha ndani ya wiki Moja.Piga ni kupige,ua nami niue,haribu nami niharibu.
 
Naskia na kuona kuwa urusi inaripua miundo mbinu na wakati mwingine hupiga mpaka makazi ya watu wasio na hatia,swali langu kwanini ukraini nayo kisiwepo kikosi maalumu Kwa ajili ya kulipiza kisasi Kwa usawa ule ule ili mzani ubalansi,akipiga makazi ya watu ukraini nao wanapiga huko kwao yaani tunalia sote.Nafikr wakifanya hivi hii vita itaisha ndani ya wiki Moja.Piga ni kupige,ua nami niue,haribu nami niharibu.
Taratibu za kimataifa haziruhusu kuua raia wasio na hatia; hata ubinadamu wa kawaida tu unakataa.

Pili, wangeamua kuwa vichaa wakapiga maeneo ya raia ovyo kama Fashisti anavyofanya, itamwongezea Fashisti support within Urusi. One of the strategies kwa sasa ni kuhakikisha anatengwa sio tu na dunia, bali anachukiwa hata na watu wake.
 
Happy new year 2023
20230101_061053.jpg
 
Back
Top Bottom