Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Uungwana ni vitendo, bora amekiri kwa kuusema ukweli. Lakini wale warusi wa kwa mtogole wenye mrengo wa kiimani, hata ukimchinja hawezi kusema kweli, maana wanasukumwa na imani ya kidini siyo facts
Utawasikia eti -"Leta picha......."
 
Uungwana ni vitendo, bora amekiri kwa kuusema ukweli. Lakini wale warusi wa kwa mtogole wenye mrengo wa kiimani, hata ukimchinja hawezi kusema kweli, maana wanasukumwa na imani ya kidini siyo facts
Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?

Maana ninachojua ni kuwa Urusi na Ukraine wote kwa wingi wao ni wakristo Waorthodoksi na wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zisizo za kidini.

Yaani sijaelewa. Nielimisheni.
 
Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?

Maana ninachojua ni kuwa Urusi na Ukraine wote kwa wingi wao ni wakristo Waorthodoksi na wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zisizo za kidini.

Yaani sijaelewa. Nielimisheni.
Read and understand the message context before you comment.
 
Hivi imekuwaje mgogoro wa Urusi na Ukraine baadhi ya wanaJf mmeugeuza kuwa ni vita kati ya Uislam na Ukristo?

Maana ninachojua ni kuwa Urusi na Ukraine wote kwa wingi wao ni wakristo Waorthodoksi na wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zisizo za kidini.

Yaani sijaelewa. Nielimisheni.
Mkuu; amewazungumzia sisi mashabiki - soma vizuri mkuu ".....Lakini wale warusi wa kwa mtogole......" na hiyo ni kawaida ya ushabiki. Uwe na amani mkuu.
 
Nasema, nileteeni hapa HIMARS nimuone, ametesa sana warusi. Kwani HIMARS ni nani mpaka atese hivo warusi. Nileteeni HIMARS nimuone, Kaua watoto na wajukuu wa Urusi. 😂😂😂
Sawa imekubalika. Subiri kwanza amalize kazi huko halafu tutakuletea. We andaa ndafu tu manake yule ni mzee wa Heshima kubwa.
 
Pigzhin yule mkuu wa kikosi cha mamluki cha Wagner akiri kwamba ngoma huko Bakhmut siyo nyepesi. Asema kuwa Kila Nyunba ya Waukrian nyuma yake ni kama kuna defensive line ya Waukraine
Pigzhin amekuwa mwoga kiasi kwamba hajathubutu kwenda nyuma ya nyumba za Waukraine kuhakikisha bali amebaki kubwabwaja eti nyuma yake ni kama kuna defensive line ya Waukraine.
 
Sawa imekubalika. Subiri kwanza amalize kazi huko halafu tutakuletea. We andaa ndafu tu manake yule ni mzee wa Heshima kubwa.
Ni sauti ya yule bibi wa Sabaya. Ombi lake lilikubaliwa kama ulivyokubali ombi langu 😂😂😂😂
 
Mkuu; amewazungumzia sisi mashabiki - soma vizuri mkuu ".....Lakini wale warusi wa kwa mtogole......" na hiyo ni kawaida ya ushabiki. Uwe na amani mkuu.
Read and understand the message context before you comment.
Nimeelewa ndio maana nikacomment vile. Najua vizuri tu kuwa kuna watu huhusisha dini katika huu mgogoro na hilo ndilo swali langu kwa mashabiki wa pande zote wanaohusisha dini maana huwa siwaelewi.

Ila turudi katika uzi.

Amani.

Napita tu.
 
Nimeelewa ndio maana nikacomment vile. Najua vizuri tu kuwa kuna watu huhusisha dini katika huu mgogoro na hilo ndilo swali langu kwa mashabiki wa pande zote wanaohusisha dini maana huwa siwaelewi.

Ila turudi katika uzi.

Amani.

Napita tu.
Huo ndo uungwana. Ubarikiwe mkuu 💃
 
20230104_065651.jpg
20230104_065646.jpg
20230104_065638.jpg
20230104_065628.jpg
20230104_065623.jpg
20230104_065617.jpg
20230104_065613.jpg
20230104_065608.jpg
20230104_065603.jpg
20230104_065558.jpg
20230104_065552.jpg
20230104_065544.jpg
20230104_065538.jpg
20230104_065534.jpg
20230104_065526.jpg
20230104_065517.jpg
20230104_065501.jpg
20230104_065455.jpg
 
Hawajui kuwa supplies route imekatwa na Ukraine siyo Russia.

Hawajui kuwa HIMARS ananusa maghala ya silaha au magari yaliyobeba silaha, anayateketeza.

Kukatwa kwa supplies ndo kunakowafanya warusi wa retreat.
Aisee..
 
Hakuna kitu kinawauma Urusi kama kuona aviation ya Ukraine ikifanya kazi vizuri. Wamejaribu kuharibu mifumo ya anga ya Ukraine bila mafanikio. Hawa ni Frontline ya Ukraine wakisaidiwa na Chopa huko Bakhmut
 
Back
Top Bottom